Kuna mwaka CCM walishinda Ubungo lini ni ubungo kwa CCM ni sawa na uchaguzi wa Zanzibar
Mbona kila mwaka CCM wanashinda Ubungo? Ni Mrema na Lamwai tu waliwaweza Ubungo.
Tatizo nionavyo mimi sio wananchi kutokuelewa bali ni upinzani kushindwa kuelewa wananchi wanataka nini.