mishe bwoy
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 116
- 34
Niaje wakuu..nimeona nije na hii topic ila ni mawazo yangu kama una lakuongeza karibu au nimekosea mahali tuambiane..
Kwa kawaida kibongo bongo bloggers wengi tunategemea sana matangazo ya google adsense ili kujipatia chochote kitu mtandaoni..
Ila siku za sasa sio kama zamani kwan hali ya kupata dolas imekua ni ngumu kutokana na competition iliyopo bloggers wametapakaaa wengi halafu wanaigana style ya kublog hivyo kupata pesa inakuwa ni ngumu...nin cha kufanya??
Kwa jinsi nilivyouatilia mimi ..Adsense wanalipa perclick na impresion..amabpo kila click ina bei yake kulingana na uzito wa tangazo..mf tangazo la gari uwezi linganisha na tangazo la urembo..So matangazo yatatokea kulingana na content iliyopo kwenye website/blog yako,,,,,kwa mfano kama blog yako inahusika na magari matangazo mengi yatatokea yatakuwa yanahusiana na magari..kama blog ni ya afya matangazo yako yatakuwa yanahusiana na afya/..
Sasa kibongo bongo Pay Per Click<CPC> inarange 0.01-0.07$..lakini ukiangalia kwa wajanja cpc inaenda hadi 3$..Na unaambia kuna matangazo yana hadi 100$ per click ila kulingana na content yako na traffic matters(from austarlia U.S.A CDANADA etc)..
SO NIN KIFANYIKE KAMA UNATAKA KUPATA PESA ONLINE....
1.ACHANA NA UDAKU TAYARI uMESHAKUA YEBO YEBO
Cha kuangalia sasa ni kama unataka pesa au Tuzo..kama unaona udaku umekukataa au habari za kawaida zimekukataa kupata angalau 10$ per day basi jaribu kucreate blog yenye niche(TOPIC YA KUZUNGUMZIA KWENYE SITE YAKO) kati ya hizi hapa chini amabzo COST PER CLICK(CPC) zake zipo juu top five ni hizi
1.Blog ya afya..Hii matangazo yatakayotokea yatakuwa yana CPC kubwa hadi 25$ per click but inategemea pia aliyebonyeza anatokea nchi gani..nchi nzuri ni kama U.S.A,AUTARLIA.CANADA,NETHERLAND ETC..
Unaweza ukawa unaandika kuhusiana na afya
AINA ZINGINE ZA NICHE NZURI NI KAMA VILE
1. Technology Niche
2. Insurance
3. Cars and Vehicles related Content
4. Make Money Online Tips
Kikubwa cha kufanya ni kutafuta facebook groups za nchi hizo na kujion nyingi uwezavyo,,,na iliufanikiwe unatakiwa uwe na groups sio chini ya 200 za nje tuu
njia ya pili ya kutafuta traffic ni kucoment kwenye blog za nchi tajwa hapo juu japo hawatakua wengi kama ukitumia facebook groups..najua quality traffic watakaokuletea maelf ya dola wanatoka google lakin kama unataka kufanikiwa chap chap fuata njia hizi mbili kwanza traffic kutokagoogle sio kitu cha siku week wala mwezi mmoja
ahasnateni
Nyngeza
kama utahitaji msaada wa kupata groups za nchi za nje ni PM nina friend wangu ana list ya facebook group za nje 7000groups...
Kwa kawaida kibongo bongo bloggers wengi tunategemea sana matangazo ya google adsense ili kujipatia chochote kitu mtandaoni..
Ila siku za sasa sio kama zamani kwan hali ya kupata dolas imekua ni ngumu kutokana na competition iliyopo bloggers wametapakaaa wengi halafu wanaigana style ya kublog hivyo kupata pesa inakuwa ni ngumu...nin cha kufanya??
Kwa jinsi nilivyouatilia mimi ..Adsense wanalipa perclick na impresion..amabpo kila click ina bei yake kulingana na uzito wa tangazo..mf tangazo la gari uwezi linganisha na tangazo la urembo..So matangazo yatatokea kulingana na content iliyopo kwenye website/blog yako,,,,,kwa mfano kama blog yako inahusika na magari matangazo mengi yatatokea yatakuwa yanahusiana na magari..kama blog ni ya afya matangazo yako yatakuwa yanahusiana na afya/..
Sasa kibongo bongo Pay Per Click<CPC> inarange 0.01-0.07$..lakini ukiangalia kwa wajanja cpc inaenda hadi 3$..Na unaambia kuna matangazo yana hadi 100$ per click ila kulingana na content yako na traffic matters(from austarlia U.S.A CDANADA etc)..
SO NIN KIFANYIKE KAMA UNATAKA KUPATA PESA ONLINE....
1.ACHANA NA UDAKU TAYARI uMESHAKUA YEBO YEBO
Cha kuangalia sasa ni kama unataka pesa au Tuzo..kama unaona udaku umekukataa au habari za kawaida zimekukataa kupata angalau 10$ per day basi jaribu kucreate blog yenye niche(TOPIC YA KUZUNGUMZIA KWENYE SITE YAKO) kati ya hizi hapa chini amabzo COST PER CLICK(CPC) zake zipo juu top five ni hizi
1.Blog ya afya..Hii matangazo yatakayotokea yatakuwa yana CPC kubwa hadi 25$ per click but inategemea pia aliyebonyeza anatokea nchi gani..nchi nzuri ni kama U.S.A,AUTARLIA.CANADA,NETHERLAND ETC..
Unaweza ukawa unaandika kuhusiana na afya
AINA ZINGINE ZA NICHE NZURI NI KAMA VILE
1. Technology Niche
2. Insurance
3. Cars and Vehicles related Content
4. Make Money Online Tips
SHIDA ILIPO NI HAPA
Je utapata wapi hao traffic/watembeleaji kutoka U.S.A,Canada,etc amapo pia wanapandisha kwa kiwango kikubwa sana R.P.M za blog
Kikubwa cha kufanya ni kutafuta facebook groups za nchi hizo na kujion nyingi uwezavyo,,,na iliufanikiwe unatakiwa uwe na groups sio chini ya 200 za nje tuu
njia ya pili ya kutafuta traffic ni kucoment kwenye blog za nchi tajwa hapo juu japo hawatakua wengi kama ukitumia facebook groups..najua quality traffic watakaokuletea maelf ya dola wanatoka google lakin kama unataka kufanikiwa chap chap fuata njia hizi mbili kwanza traffic kutokagoogle sio kitu cha siku week wala mwezi mmoja
ahasnateni
Nyngeza
kama utahitaji msaada wa kupata groups za nchi za nje ni PM nina friend wangu ana list ya facebook group za nje 7000groups...