johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,969
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake Ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameua wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake Ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameua wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!