Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,422
- 21,115
- Thread starter
- #161
.
Unafikiri ni wewe tu mwenye kitia mimba wacha usimtie uone kama hata beba wewe ni mwanadamu wacha kuingilia mipango ya Mungu wewe tafuta fedha ule kwa jasho mkeo mpe mimba azae kwa uchungu hayo ni mapenzi ya MunguAisee wakuu muwe mna waheshimu sana mama zenu kwa kweli ,kwa niliyoyaona wodi ya wazazi aiseee nimeathirika kisaikolojia sitamani tena kumtia mimba mke wangu nahisi kama atakufa kwa kweli.
Roho ilikuwa juu juu kipindi mke wangu anaenda kujifungua ,nilivyoingia wodi ya wazazi ndio kabisa nikaishiwa nguvu kwa kuwaonea huruma.
Jamani jamani wanawake wanateseka sana wakiwa wanajifungua yani nilihisi mke wangu hatoki akiwa hai lazima afe.
Kwa kweli hata nikipita mtaani minions mwanamke ana ujauzito natamani kulia kwa kumuonea huruma ,Sitamani kabisa kumpa mke wangu mimba kama kungekuwa na uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume ningeenda walai
Maana wanawake wanapitia mateso makubwa sana.
Ushauri wenu wakuu niondokane na hii hali .
Au dada yake!Kamtie mimba house girl
Acha ujinga wewe mbona unaingaliaaa majukumu sio yakoAisee wakuu muwe mna waheshimu sana mama zenu kwa kweli ,kwa niliyoyaona wodi ya wazazi aiseee nimeathirika kisaikolojia sitamani tena kumtia mimba mke wangu nahisi kama atakufa kwa kweli.
Roho ilikuwa juu juu kipindi mke wangu anaenda kujifungua ,nilivyoingia wodi ya wazazi ndio kabisa nikaishiwa nguvu kwa kuwaonea huruma.
Jamani jamani wanawake wanateseka sana wakiwa wanajifungua yani nilihisi mke wangu hatoki akiwa hai lazima afe.
Kwa kweli hata nikipita mtaani minions mwanamke ana ujauzito natamani kulia kwa kumuonea huruma ,Sitamani kabisa kumpa mke wangu mimba kama kungekuwa na uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume ningeenda walai
Maana wanawake wanapitia mateso makubwa sana.
Ushauri wenu wakuu niondokane na hii hali .
Uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume upo.Nenda ukafungeAisee wakuu muwe mna waheshimu sana mama zenu kwa kweli ,kwa niliyoyaona wodi ya wazazi aiseee nimeathirika kisaikolojia sitamani tena kumtia mimba mke wangu nahisi kama atakufa kwa kweli.
Roho ilikuwa juu juu kipindi mke wangu anaenda kujifungua ,nilivyoingia wodi ya wazazi ndio kabisa nikaishiwa nguvu kwa kuwaonea huruma.
Jamani jamani wanawake wanateseka sana wakiwa wanajifungua yani nilihisi mke wangu hatoki akiwa hai lazima afe.
Kwa kweli hata nikipita mtaani minions mwanamke ana ujauzito natamani kulia kwa kumuonea huruma ,Sitamani kabisa kumpa mke wangu mimba kama kungekuwa na uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume ningeenda walai
Maana wanawake wanapitia mateso makubwa sana.
Ushauri wenu wakuu niondokane na hii hali .
Tahadhari tu, asije akafunga yeye wenzake wakamsaidia, wa kujionea huruma ni yeye mwanamkeUwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume upo.Nenda ukafunge
Miaka miwili ikipita yeye mwenyewe anakuwa na hamu ya mtoto na ukigoma kumtia mimba ataenda kwa wanaume wengine wenye roho ngumu.Aisee wakuu muwe mna waheshimu sana mama zenu kwa kweli ,kwa niliyoyaona wodi ya wazazi aiseee nimeathirika kisaikolojia sitamani tena kumtia mimba mke wangu nahisi kama atakufa kwa kweli.
Roho ilikuwa juu juu kipindi mke wangu anaenda kujifungua ,nilivyoingia wodi ya wazazi ndio kabisa nikaishiwa nguvu kwa kuwaonea huruma.
Jamani jamani wanawake wanateseka sana wakiwa wanajifungua yani nilihisi mke wangu hatoki akiwa hai lazima afe.
Kwa kweli hata nikipita mtaani minions mwanamke ana ujauzito natamani kulia kwa kumuonea huruma ,Sitamani kabisa kumpa mke wangu mimba kama kungekuwa na uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume ningeenda walai
Maana wanawake wanapitia mateso makubwa sana.
Ushauri wenu wakuu niondokane na hii hali .