Kwa niliyoyaona njiani, wachaga mnakwisha!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,182
8,946
Habar zenu wanajopo, natumai mu wazima. Binafsi na familia yangu tuko poa kabisa.

Niwashukuru wale wote mlioniombea nikiwa safarini mpaka niliporejea hapa jijini. Hakika maombi yenu ilikuwa ni nuru ya kwenda na kurudi salama hapa jijini.

Nasema hivyo maana wakati wa kwenda Arusha njiani nilikutana na gari (coastal) nne zikipeleka wachaga Moshi wakiwa maiti). Wakati narudi nilikutana na gari tano, zote zikiwa zimebeba watu waliosindikiza maiti.

Kwa mbali nikaanza kuhisi kulia, maana lilinikumbusha msemo wa Mangi mmoja aliyepata kuniambia kuwa, "Siku hizi, bhana, Mangi sisi wachaga tunaondoka sana. Wajua tatizo ni kuwa wengi wetu hatutafuti pesa kama ilivyokuwa zamani tunatafuta na chupi. Hilo ndo tatizo'' (nimemnukuu jamani mniache)
 
Ipo siku na wewe utapelekwa kwenu , kama hao uliowakuta njiani ukashangaa...
haaaaaa! kilawe, nimeshangaa wengi niliowaona wameandikwa majina yao eti wanatoka ukoo wa Kilawe, we hauomo kwenye hao kweli? pole kilawe.
 
Habar zenu wanajopo, natumai mu wazima, binafsi na familia yangu tuko poa kabsa, niwashukuru wale wote mlio niombea nikiwa safairini mpka nilipo rejea, hapa jijini akika maombi yenu ilikuwa ni nuru ya kwenda na kurudi salama,hapa jijini, nasema hivyo maana wakati wa kwend Arusha njiani nilikutana na Gar(coatal nne zikipereka wachaga moshi wakiwa maiti) wakati narudi nilikutana na gari tano, zote zkikwa zimebeba watu walio sindikiza maiti, ili kwa mbali nikaanza kuisi kulia, maana lilinikumbusha msemo wa Mangi mmoja aliyepata kuniambia kuwa ''siku hizi, bhana, Mangi sis wachaga tunaondoka sana, wajua tatzo ni kuwa wengi wetu hatutafti pesa kama ilivyokuwa zamani tunatafta na chupi ilo ndo tatzo'' (nimemnukuu jaman mniache)

Tafiti za kitoto hizi bure kabisa...ulifanya utafiti pia kwenye makabila mengine ukafanya mlinganisho? Vipi hukupata wasaa wa kwenda hospitali kuchukua takwimu za watoto wanaozaliwa?
 
Tafiti za kitoto hizi bure kabisa...ulifanya utafiti pia kwenye makabila mengine ukafanya mlinganisho? Vipi hukupata wasaa wa kwenda hospitali kuchukua takwimu za watoto wanaozaliwa?
mimi ni tofauti na wewe, sannaaaa, mimi uwa nikisafiri, nafanya utafti mdogo kimzaa, tuuu wakati wewe ukisafir uwa unasinzia kwenye basi mwanzo mwisho,hapo ndo inaonekana uwezo wangu na wako, kwa ufupi wangu ni utafti usio rasim lakini ambao una ujumbe ndani yake.
 
ni kweli ila si wajua hawa wenzetu ni malimbkeni sana wakija bongo wakapa madem wa kimakonde na kizaramu kwa mizungusho tu, wanawashanaa wakina Manka, si wajua wakina Manka wengi ni wale wa style ya ''we fanya ukimaliza niamshe niondoke''

Duh umewaamulia wachagga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom