Hiyo operation imo miongoni mwa huduma za kifurushi unacholipia? Isije ikawa ulijiunga bila kusoma orodhaKwa nilichokishuhudia leo NHIF ni bima dhaifu mno kama umeshindwa ku_cover opereshen ndogo ya gharama ya Million moja na laki tano mpaka ulipie.. tena Bima ya mtumishi
Sasa mfuko wa nn kama hali ndio hiyo.. Mfuko wenye kukusaidia vitu kama ultrasound, xray na vijipanadol.. HAKUNA MFUKO UBABAISHAJI TU
Unajua nchi ikishakuwa na corruption na watu kutaka kona kona kwa kila kitu basi ni changamoto sana kutoa huduma kwa wananachi. Siku za nyuma nilishashuhudia watu wazima waki-collude na wahusika na kutibiwa kwa bima za watu wengine hasa watoto. Namna hii bima haiwezi kujiendesha na ndicho kilichotokea.Kwa nilichokishuhudia leo NHIF ni bima dhaifu mno kama umeshindwa ku_cover opereshen ndogo ya gharama ya Million moja na laki tano mpaka ulipie.. tena Bima ya mtumishi
Sasa mfuko wa nini kama hali ndio hiyo.. Mfuko wenye kukusaidia vitu kama ultrasound, xray na vijipanadol.. HAKUNA MFUKO UBABAISHAJI TU