martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 736
- 1,547
Habari zenu wakuu,
baada ya kuangaika na shughuri za kujenga uchumi wangu binafsi na kutengeneza maisha kuwa mazuri kwa ajiri ya kujenga familia kila siku mambo yanazidi kuwa magumu
Nipo kwenye mahusiano na bidada mmoja mwenye financial freedom yake lakin shida ni kuwa Ananata sana. Binafsi yangu nampenda sana lakin hana sifa za kuwa mke wangu (sio wife material ) kisa kasoma india na Saivi anafanya Kazi kampuni kubwa hapa nchini basi hata kupika akijaga geto hataki anachonikera zaidi kuja geto kwangu kupaka ma sanitizer yake kwangu kama mganga anapiga ramli
Sasa mimi nnahamu kubwa sana ya motto nataka nmpe mimba huyu Mtu alafu ntokomee pasipojulikana
baada ya kuangaika na shughuri za kujenga uchumi wangu binafsi na kutengeneza maisha kuwa mazuri kwa ajiri ya kujenga familia kila siku mambo yanazidi kuwa magumu
Nipo kwenye mahusiano na bidada mmoja mwenye financial freedom yake lakin shida ni kuwa Ananata sana. Binafsi yangu nampenda sana lakin hana sifa za kuwa mke wangu (sio wife material ) kisa kasoma india na Saivi anafanya Kazi kampuni kubwa hapa nchini basi hata kupika akijaga geto hataki anachonikera zaidi kuja geto kwangu kupaka ma sanitizer yake kwangu kama mganga anapiga ramli
Sasa mimi nnahamu kubwa sana ya motto nataka nmpe mimba huyu Mtu alafu ntokomee pasipojulikana