Ndugu wanajanvi wenzangu natatizo nahisi linanisumbua kichwa yangu,nina corona premio year1997 na cc 1998,bt nimekuta wamebadili engine wakaweka ya toyota limited kwa malengo ya kubana mafuta ili ifanye biahashara ya tax mjini,bt imekua ndo kimeo balaa kwan mafuta hainywi bali inabugia,na ktk milima inakosa nguvu kabisa, yaan ukiweka litre 5 kwa misele twn wala haimalizi siku inakata wese..hivyo nataka knunua engine nyingine soon so naomba ushauri ndugu zangu,,JE??? ninunue engine gani ya premio ambayo haitanisumbua ktk mafuta, pia haitaitaji modification nyingi ya kuipachika,walau ikimbie 13km\litre,na je bei yake pamoja na gear box ntaipata kwa bei gani??? na iwe ambayo fundi wetu wanaielewa vizuri,,,natanguliza shukrani kwenu,,,kwa wale wenzangu wenye kejeri na zarau za hapa na pale plllzzzzzz hapa co mahala pake kwan mi nahitaj msaada kutoka kwenu,usipo nisaidia wewe bac wapo wataalam apa janvin watatatua tatizo lang..asante:amen: