Kwa Mwenye gari ndogo Kahama

Kwa Mwenye gari ndogo Kahama

Njiwa wangu

Senior Member
Joined
Dec 5, 2020
Posts
146
Reaction score
289
Habarini zenu wanajamvi nahitaji gari ya kukodi kwa safari ya siku tano kutokea Kahama kwenda Katavi kisha Sumbawanga Mbeya na Iringa nakuja kutokezea Singida na kurudi.

Gari ninayohitaji yenye capacity 2000 kushuka Chini ila isiwe noah na iwe gari ambayo unaweza himili masafa hayo bila shida mimi nikuweka wese tu.

Karibuni PM nipo kahama mhungula unakuja mpaka nyumbani kwangu tunayajenga na kuandikiana mkataba pia
 
Nilipooana heading inasema "Mwenye gari ndogo Kahama". Nimekuja faster ili kujua huyo mwenye gari ni nani na amehamia wapi.
Maana ile 'Kwa' sikuiona.
 
Kwanini ukamdanganye mtoto wa watu kuwa una gari?...we nenda na basi tu kaoe urudi....
 
sasa gari gani unataka iseme gari zipo ni kutangaza dau mtu limshawishi
 
sasa gari gani unataka iseme gari zipo ni kutangaza dau mtu limshawishi
Harrier old model 4p
Carina ti
Toyota ipsum
Nissan extrail
Toyota wish
Toyota allion
Alex
Na zingine ila isiwe six cylinder na pia iwe na unyunyu barabara sehemu kubwa ni vumbi
 
Dau inategemea na aina ya gari ni lina uwezo wa kuhimili safari ndefu
 
Habarini zenu wanajamvi nahitaji gari ya kukodi kwa safari ya siku tano kutokea Kahama kwenda Katavi kisha Sumbawanga Mbeya na Iringa nakuja kutokezea Singida na kurudi.

Gari ninayohitaji yenye capacity 2000 kushuka Chini ila isiwe noah na iwe gari ambayo unaweza himili masafa hayo bila shida mimi nikuweka wese tu.

Karibuni PM nipo kahama mhungula unakuja mpaka nyumbani kwangu tunayajenga na kuandikiana mkataba pia
Kila la kher mkuu,nami nina uhitaji kama wako..ukipata mawili nistue nichukue 1.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom