Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,913
- 2,791
Poor economic analysis,rudi shuleni ndugu bado kabisa au ni QT product?.mnamhujumu kikwete kwa kutumiwa na mafisadi halafu mnasema kila kitu kimeharibika shwa..ni.
wewe ndio matobolwa kweli......kwa akili yako kikwete nae ni RAisi au nembo tu? wacha kudanganywa watu na ndio maana sasa unaona masharti ya wanaomjazia bakuli lake wametoa sharti jipya....kama kweli anajali utu na ubinadamu angekataa misaada ya mwingereza lakini kwa kuwa hana utu ..yupo tu anang'aa sharubu
Wewe ndiye chizi kabisa. Huna hata haya kumtetea ombaomba, mzururaji asiyetulia nyumbani. Ni binadamu gani mwenye akili timamu anayeweza kumtetea kiwete? Kama unakula makombo ya mezani kwake basi usidhani kila mtu ndivyo alivyo. IQ yako siyo kwamba ipo chini tu bali ni negative.
Unaambiwa kuwa funzo la mjinga ni tabu, subiri kwanza tabu itufanye kweli halafu ndo tutajifunzatutafika tu ngoja shida ziendelee mpaka 2015 ikiwezekana watu walalie kahawa ndio watajua umuhimu wa kura zao
mpuuzi ni wewe usiyejali au unapokea mishiko ya MAFISI MWITU WA UFISADI WAKIONGOZWA NA KIONGOZI RAHISI KULIKO WOTE DUNIANI ANAYETAKA KUITWA rais! Shame!!!!!!!!!!!Upuuzi mtupu.
wewe ndio matobolwa kweli......kwa akili yako kikwete nae ni RAisi au nembo tu? wacha kudanganywa watu na ndio maana sasa unaona masharti ya wanaomjazia bakuli lake wametoa sharti jipya....kama kweli anajali utu na ubinadamu angekataa misaada ya mwingereza lakini kwa kuwa hana utu ..yupo tu anang'aa sharubu
Ngoja upumuliwe kisogoni na mwingereza ukiwa na bakuli lako la ombaomba mkononi na kiwete wako. Eti ohhoo MKURABITA, TASAF, nani aliyekwambia kiwete ndiye kaleta hayo?! Inaonekana umetoka Segerea hivi karibuni. Endeleeni kumsifia Dr. Dr. Dr. Dr. (Heshima UDOM, UTURUKI) RAHISI MKWERRE wakati chama ndiyo kinafia mikononi mwake. Pia, endeleeni kumbeza Dr. (PhD) Slaa na cdm huku chama kikiendelea kuchanga mbuga. Siku ikifika mtalilia chooni hasa ninyi ambao mpo radhi kupumliwa kidogoni kwa shida ya tumbo, ptuuuuuuhhh!!!!Hayo unayasema nadhani siyo akili yako. Sasa kama hakuna mtu anayemtetea Kikwete, Mbona mimi namtetea. Rais mpenda amani. Rais aliyeruhusu uhuru wa vyombo vya habari na watu wakapata nafasi kusema kila wanachokifikiria hata wewe MIBANGI sasa unaongea. Rais anayejali usawa kwa kuweka uwiano wa nafasi za uongozi kwa makundi yote' wanawake, vijana , wazee, walemavu. Rais aliyejitahidi kuwainua watu wa chini; Mapesa ya JK kwa ajili ya wajasiriamali wadogo, Pembejeo kwa ajili ya wakulima, mipango ya maendeleo kama MKUKUTA, MKURABITA TASAF yote hayo kafanya JK. wewe unayetukanaumesoma shule ya kata ambayo ambayo ni JK hyohuyo kaijenga. MLAMU baba yako aliyesoma kwa kodi za watanzania lakini ameishia kunywa pombe tu badala ya kukupa hayo maisha bora unayolilia
SUBIRINI RAIS WENU SHOGA, DIKTETA ambaye anajidanganya kwamba pesa za nchi hii zinatokana na vivutio toka kaskazini pekee, wakati kwetu kusini vipo na vinachangia pato la Taifa, kule kanda ya ziwa ndiyo usiseme kuna maziwa, madini, mbuga za wanyama mito. Siku akiwa rais tutamlazimisha kuendelea na sera yake ya MAJIMBO na tuone kama kelele zake hizo zitamfikisha alikodhania.
kweli bangi ni mbaya sana.Nchi imeyumba kila sekta.
Watanzania hawana matumaini tena ya maisha yao. Idadi ya maskini inazidi kuongezeka kila kukicha. Zile mbwembwe za 'maisha bora kwa kila mtanzania' zimeyeyuka kama pande la barafu lililoachwa juani. Kwa mwenendo huu, kwa nini nisiungane na wanaharakati wanaosema kuwa tangu mwaka 2005 hadi sasa nchi yetu imekuwa ikiongozwa na RAHISI na siyo RAIS. Kama Rais tusubiri mwaka 2015.
Huenda Mungu akasikia kilio chetu.
Poor economic analysis,rudi shuleni ndugu bado kabisa au ni QT product?.mnamhujumu kikwete kwa kutumiwa na mafisadi halafu mnasema kila kitu kimeharibika shwa..ni.
madhara ya kunywa mbege kupita kiasi. angalia usiende kumfanyia fujo mwenzio ukifika nyumbani.Ngoja upumuliwe kisogoni na mwingereza ukiwa na bakuli lako la ombaomba mkononi na kiwete wako. Eti ohhoo MKURABITA, TASAF, nani aliyekwambia kiwete ndiye kaleta hayo?! Inaonekana umetoka Segerea hivi karibuni. Endeleeni kumsifia Dr. Dr. Dr. Dr. (Heshima UDOM, UTURUKI) RAHISI MKWERRE wakati chama ndiyo kinafia mikononi mwake. Pia, endeleeni kumbeza Dr. (PhD) Slaa na cdm huku chama kikiendelea kuchanga mbuga. Siku ikifika mtalilia chooni hasa ninyi ambao mpo radhi kupumliwa kidogoni kwa shida ya tumbo, ptuuuuuuhhh!!!!
Mbona wengine hatujawahi kusikia Wanaharakati wakisema hivyo? au wewe ndiye mwenye harakati za kusema hivyo?. Kaka fanyakazi kwa bidii, fuata maelekezo ya serikali katika kujiletea maendeleo, kama ni Mwanafunzi soma kwa bidii utayaona maisha katika mwanga bora.
miogomo, maandamano, uvivu, majungu sana, kashfa,chuki binafsi, visasi ni adui mkubwa wa maendeleo. Endelea kusubiri Rais wa 2015 atakuletea kila kitu umekaa.
Alafu anaitwa Dr. Wapumbavu wenziwe akina Banseni Bana na Mkandara wanampa udaktari kana kwamba watanzania tunashindia Phd's na kulalia Phd's feki kama hizi za kuchonga namna hii...poor people poor Phd's poor magogoni,poor everthing,poor wives poor toilets poor he and she,poor generation poor poor poor media,nahisi naugua kipanda uso
Poor economic analysis,rudi shuleni ndugu bado kabisa au ni QT product?.mnamhujumu kikwete kwa kutumiwa na mafisadi halafu mnasema kila kitu kimeharibika shwa..ni.
kweli bangi ni mbaya sana.