Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,220
*TREND YA USHINDI YA CHADEMA*
CHADEMA kimepta usajili wa kudumu 21.01.1993 baada ya hapo kilianza kushiriki uchaguzi wa SM na Madiwani mwaka 1994. Toka hapo hadi sasa ushindi wetu kwa Madiwani, Halmashauri, Wabunge na kura za Uraisi umekuwa hivi;
*Mwaka 1994*
1. Madiwani 13 Tanzania nzima
2. Hatukupata Halmashauri hata moja.
*Mwaka 1995*
1. Wabunge tulipata wanne (4). Kati ya hao watatu wa Majimbo na mmoja wa Viti Maalum ambao ni;
- Karatu (Dr Slaa)
- Rombo (Masumbuko Lamwai)
- Kigoma Mjini (Dr Wared Kaburu)
- Viti Maalum alikuwa Mary Kabigi wa Mbeya.
2. Uraisi
- Tuliwaunga Mkono NCCR Mageuzi (Mrema)
*Mwaka 2000*
1. Madiwani tulipata 45 nchi nzima
2. Halmashauri mbili (Karatu na Hai)
3. Wabunge watano. Majimbo manne na viti maalum mmoja.
- Karatu (Dr Slaa)
- Hai (Freeman Mbowe)
- Moshi Mjini (Marehemu Ndesamburo)
- Kigoma Mjini (Dr Wared Kaburu)
- Viti Maalum alikuwa Grace Kihwelu ambaye yuko hadi leo.
*Mwaka 2005*
1. Madiwani 102 nchi nzima.
2. Halmashauri mbili (Karatu na Moshi Manispaa)
3. Wabunge tulipata 11. Watano wa Majimbo na sita viti Maalum. Ambao walikuwa;
- Karatu (Dr Slaa)
- Moshi Mjini (Marehemu Ndesamburo)
- Kigoma Kaskazini (Zitto)
- Mpanda Kati (Said A. Arfi)
- Tarime (Chacha Wangwe)
- Viti maalum walikuwa 6 pamoja na Halima Mdee, Grace Kihwelu na wengine.
4. Uraisi Freeman Mbowe
- Tulipata kura 670,000/=
*Mwaka 2010*
1. Madiwani 589 Nchi nzima
2. Halmashauri 7
- Karatu
- Moshi Manispaa
- Hai
- Musoma Mjini
- Ukerewe
- Ilemela
- Kigoma Ujiji (50/50)
3. Wabunge 49
- Majimbo 24 (Ni pamoja na kina Msigwa, Wenje, Mnyika, Halima, etc)
- Viti Maalum 25 (pamoja na Kiwanga, Lyimo, Conchester, etc)
4. Uraisi (Dr Slaa)
- Kura 2,300,000
*Mwaka 2015*
1. Madiwani 1108. Nchi nzima
2. Halmashauri 25 nchi nzima.
- 22 tunaziongoza
- 3 wametupora CCM (Kilombero DC, Sumbawanga MC, Kyerwa DC)
3. Wabunge tumepata 74
- Majimbo 35 pamoja na Ndanda
- Viti Maalum 37
- Africa Mashariki 2
Kati ya hao wanaume 29 na wanawake 45.
4. Uraisi (Edward Lowassa)
- Tulipata kura 6,080,000
* C&P
My take: Kumbe ndio maana watawala ccm wanatumia nguvu kubwa kuiyumbisha Chadema na muungano wa UKAWA kwani inaonyesha kila chaguzi pamoja na mizengwe ya kina Lubuva hesabu ya kura ina double hivyo uwezekano wa kura za urais kuwa 12m+ ni mkubwa sana.
Hata generation hii ya vijana wapigakura wapya 18- 30 yrs ndiyo hiyo iliyo athirika sana na maamuzi ya utawala huu wa awamu ya tano hivyo wataichinja ccm kwa kura.
CHADEMA kimepta usajili wa kudumu 21.01.1993 baada ya hapo kilianza kushiriki uchaguzi wa SM na Madiwani mwaka 1994. Toka hapo hadi sasa ushindi wetu kwa Madiwani, Halmashauri, Wabunge na kura za Uraisi umekuwa hivi;
*Mwaka 1994*
1. Madiwani 13 Tanzania nzima
2. Hatukupata Halmashauri hata moja.
*Mwaka 1995*
1. Wabunge tulipata wanne (4). Kati ya hao watatu wa Majimbo na mmoja wa Viti Maalum ambao ni;
- Karatu (Dr Slaa)
- Rombo (Masumbuko Lamwai)
- Kigoma Mjini (Dr Wared Kaburu)
- Viti Maalum alikuwa Mary Kabigi wa Mbeya.
2. Uraisi
- Tuliwaunga Mkono NCCR Mageuzi (Mrema)
*Mwaka 2000*
1. Madiwani tulipata 45 nchi nzima
2. Halmashauri mbili (Karatu na Hai)
3. Wabunge watano. Majimbo manne na viti maalum mmoja.
- Karatu (Dr Slaa)
- Hai (Freeman Mbowe)
- Moshi Mjini (Marehemu Ndesamburo)
- Kigoma Mjini (Dr Wared Kaburu)
- Viti Maalum alikuwa Grace Kihwelu ambaye yuko hadi leo.
*Mwaka 2005*
1. Madiwani 102 nchi nzima.
2. Halmashauri mbili (Karatu na Moshi Manispaa)
3. Wabunge tulipata 11. Watano wa Majimbo na sita viti Maalum. Ambao walikuwa;
- Karatu (Dr Slaa)
- Moshi Mjini (Marehemu Ndesamburo)
- Kigoma Kaskazini (Zitto)
- Mpanda Kati (Said A. Arfi)
- Tarime (Chacha Wangwe)
- Viti maalum walikuwa 6 pamoja na Halima Mdee, Grace Kihwelu na wengine.
4. Uraisi Freeman Mbowe
- Tulipata kura 670,000/=
*Mwaka 2010*
1. Madiwani 589 Nchi nzima
2. Halmashauri 7
- Karatu
- Moshi Manispaa
- Hai
- Musoma Mjini
- Ukerewe
- Ilemela
- Kigoma Ujiji (50/50)
3. Wabunge 49
- Majimbo 24 (Ni pamoja na kina Msigwa, Wenje, Mnyika, Halima, etc)
- Viti Maalum 25 (pamoja na Kiwanga, Lyimo, Conchester, etc)
4. Uraisi (Dr Slaa)
- Kura 2,300,000
*Mwaka 2015*
1. Madiwani 1108. Nchi nzima
2. Halmashauri 25 nchi nzima.
- 22 tunaziongoza
- 3 wametupora CCM (Kilombero DC, Sumbawanga MC, Kyerwa DC)
3. Wabunge tumepata 74
- Majimbo 35 pamoja na Ndanda
- Viti Maalum 37
- Africa Mashariki 2
Kati ya hao wanaume 29 na wanawake 45.
4. Uraisi (Edward Lowassa)
- Tulipata kura 6,080,000
* C&P
My take: Kumbe ndio maana watawala ccm wanatumia nguvu kubwa kuiyumbisha Chadema na muungano wa UKAWA kwani inaonyesha kila chaguzi pamoja na mizengwe ya kina Lubuva hesabu ya kura ina double hivyo uwezekano wa kura za urais kuwa 12m+ ni mkubwa sana.
Hata generation hii ya vijana wapigakura wapya 18- 30 yrs ndiyo hiyo iliyo athirika sana na maamuzi ya utawala huu wa awamu ya tano hivyo wataichinja ccm kwa kura.