- Thread starter
- #21
Ni Pm mwaya
Kama upo serious tupia namba pm nitaku-call.
Ni Pm mwaya
SAWA MKUU UNAISHI WAPI LAKINI MIMI NIPO CHATO VIJIJINI HUKUMshahara wako hauniusu mm nahitaji kukutunza,
Ili mradi kidogo uwe umeanza maisha wewe Kama wewe Ili utakavyovikuta kwangu uvitumie kwa akili Na si kukomoana.
Ila ulizaa nae watoto wawili!!?? duh huyo alikua mke tu mkuu!!!Sikuwah kufunga naye ndoa,
Naye alikuwa Ana malengo yake ndiyo mana hatupo pamoja!
naomba kujua dini yako b4 ya yote.
Ila ulizaa nae watoto wawili!!?? duh huyo alikua mke tu mkuu!!!
kweli mkuu, kila kheri katika kusaka mwenza wa kudumu.Ki-mtindo maisha yanabadilika.
oooh! very sorry, acha niwaachie wenzangu.Christian
UNATAKA SHEKHE?oooh! very sorry, acha niwaachie wenzangu.
oooh! very sorry, acha niwaachie wenzangu.
UPO TAYARI KUZAA TENA AU ?
NAELEWA MKUU UNAMAANISHA NINI....MUNGU AKUTANGULIE UFANIKIWE KATIKA HILI ULILOAMUA KULIWEKA WAZI ....KILA LA KHERI. KUNA WIMBO ALIIMBA NGWEA NA DAZ BABA...WIFE. "asinifanyie kama sonia asababishe nitake kujiuaaa..ajue mapenzi .....asinifanyie ushenzi...anienziiii. NAKUELEWA SANA MKUU.
c lazima shehe awe muislam kwanza mengne ningeyajua baada ya kujuana.UNATAKA SHEKHE?
UNATAKA SHEKHE?
yeah ila kwangu mi dini ni kigezo kikubwa sn.Lakini Mimi sijaweka kigezo cha dini kila kitu Ni maelewano Tu.
WEWE NDO UNAETAFUTA?NDIO...KUZAA LAZIMAA.... wewe unataka uolewe ukaliwe tigo tuu kuzaa hutaki?....ndoa gani sasa hiyo kama mtu na boyfriend wake?...itokee tuu mungu hajatia baraka za mtoto ila kuzaa lazimaaaa.
mimi sio mtoto mkuu mimi rika lako tunapishana tu 2 yrs.ungenifaa sana sema basi tu maisha hayaWewe mtoto wewe?
wewe inabidi uolewe na sheikh tuu hakuana namnaa...maana sio kila muislam ni muislam swafi..wengine majina tuu na wala kitimoto balaaa.c lazima shehe awe muislam kwanza mengne ningeyajua baada ya kujuana.
SAWA MKUU UNAISHI WAPI LAKINI MIMI NIPO CHATO VIJIJINI HUKU