Kwa mwanamke anayejielewa

Kwa mwanamke anayejielewa

true4u

Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
27
Reaction score
18
Kama upo tayari njoo tujenge family .

Nahitaji mwanamke atakaye kuja kuwa mke,

Uwe Na miaka 28-32 uwe free unayejitegemea,

Kama Una mtoto si mbaya ila usiwe Na mawasiliano Na mzazi mwenzako tutakapokuwa pamoja Kama Ni mtoto nitalea,


Mimi Ni baba wa watoto wawili ila wapo nje ya nchi Na mama yao upweke umenizidi.

Kwa kufahamiana zaidi pm
Umri wangu Ni (36)
 
Kama upo tayari njoo tujenge family .

Nahitaji mwanamke atakaye kuja kuwa mke,

Uwe Na miaka 28-32 uwe free unayejitegemea,

Kama Una mtoto si mbaya ila usiwe Na mawasiliano Na mzazi mwenzako tutakapokuwa pamoja Kama Ni mtoto nitalea,


Mimi Ni baba wa watoto wawili ila wapo nje ya nchi Na mama yao upweke umenizidi.

Kwa kufahamiana zaidi pm
Umri wangu Ni (36)
Unamiliki kitu gani mjini?
 
Mchepuko unatafutwa live live...!
 
Kama upo tayari njoo tujenge family .

Nahitaji mwanamke atakaye kuja kuwa mke,

Uwe Na miaka 28-32 uwe free unayejitegemea,

Kama Una mtoto si mbaya ila usiwe Na mawasiliano Na mzazi mwenzako tutakapokuwa pamoja Kama Ni mtoto nitalea,


Mimi Ni baba wa watoto wawili ila wapo nje ya nchi Na mama yao upweke umenizidi.

Kwa kufahamiana zaidi pm
Umri wangu Ni (36)
Yaani asiwe na mawasiliano na mzazi mwenzie?? Nakushauri kama hutaki awe na mawasiliano na mzazi mwenzake basi achana na mwenye mtoto!
 
Kama upo tayari njoo tujenge family .

Nahitaji mwanamke atakaye kuja kuwa mke,

Uwe Na miaka 28-32 uwe free unayejitegemea,

Kama Una mtoto si mbaya ila usiwe Na mawasiliano Na mzazi mwenzako tutakapokuwa pamoja Kama Ni mtoto nitalea,


Mimi Ni baba wa watoto wawili ila wapo nje ya nchi Na mama yao upweke umenizidi.

Kwa kufahamiana zaidi pm
Umri wangu Ni (36)
Ni Pm mwaya
 
NI PM MKUU ILA MSHAHARA WANGU 250,000 MI MWALIMU WA PRIMARY DAR NINA KITANDA TU NA FRIJI
 
NI PM MKUU ILA MSHAHARA WANGU 250,000 MI MWALIMU WA PRIMARY DAR NINA KITANDA TU NA FRIJI

Mshahara wako hauniusu mm nahitaji kukutunza,
Ili mradi kidogo uwe umeanza maisha wewe Kama wewe Ili utakavyovikuta kwangu uvitumie kwa akili Na si kukomoana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom