New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,310
- 2,425
Hapana, si ukweli zile nyumba zenu asili zinaitwa nyumba za tembe.Chadema mmeanza kutudharau Wagogo
Makao makuu yametushinda ninimakao makuu tu imewashinda
Jibu swali acha siasa! Mtoto wako hatuhusu sisi. Uzuri wa jengo unapimwaje?UCD katika muendelezo wenu wa kusifia serikali hii muwe mnakubali mnapokosolewa, wewe hujui uzuri unapimwaje, hayo majengo mawii hata mtotowangu mdogo kabisa aweza kugundua lipi ni zuri kuliko jingine
Watanzania hawathamini majengo! Ndipo hapo tunapo feli! Ebu angalia makao makuu ya chama kikuu cha upinzani, imagine CHADEMA wangekuwa ni washauli wa jengo la ikulu! Jengo hilo litafananaje?jana nilipoangalia nililazimika kugoogle kuangalia ikulu za marekani, rusia hadi korea, sisi sijui tunafeli wapi kwakweli
Ikulu kama hostel za mabibo yaani nchii sijui imekosa wabunifu au vipi..watuambie labdo ni ikulu ya mda ya ukweli inakujaKwa muonekano wa nje ikulu ya dar es salaam ni nzuri kuliko ya chamwino, japokua ikulu ya dar es salaam imejengwa kipindi Cha ukoloni na teknologia ilikua ndogo na bado ni nzuri kuliko ya chamwino Tanzania tunafeli wapi?
View attachment 1401003View attachment 1401005
Ebu angalia ikulu ya south Africa na ilijengwa kipindi Cha apartheid angalia ilivyokua nzuri
View attachment 1401031
kwamba watu wameishiwa ubunifu hadi kuiga ya Dar ndo ikajengwe tena Dom au? hii ni aibu maana hilo la Dom litaendelea kuwepo sasa kwa nn hawajengi majengo yenye ubunifu mzuri?Hiyo ikulu ya Dodoma ni mbayaaa. Jiwe akaona itamchoresha akaona aje na maneno eti ikulu kama ya Dar kwa muonekano wake itajengwa Dodoma. Najua bado atakuja na kituko. Eneo la ikulu lina miamba utadhani watachezea humo kombolela! Hovyo hovyo mipango.
Sasa jengo la Tamisemi lina upekee gani,yaani cladding ya mavioo ndo jengo zuri lile? Hadi ofisi ya RC wa Manyara ni nzuriKuhusu Mtumba mkuu yale majengo ya Wizara ni ya awali tu kila Wizara ina aina ya mjengo itakaoujenga baadae pale pale pembeni ya majengo ya sasa,yale yalijengwa mapema ili ofisi zipatikane na Wizara zisiende kupanga majengo na kuiingizia serikali hasara ila baada ya kuhamia kila Wizara itajenga jengo lake ilitakalo na mfano mzuri ni TAMISEMI wao tayari washajenga jengo lao la ghorofa pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matumizi yanabanwaMkuu unania njema kabisa ya kizalendo kusifia vya nyumbani. Ila ukweli ni kwamba hata huo ukumbi ulioboreshwa ni MBAYA... wamefanya ukarabati wa hadhi ya nyumba ya mtu binafsi na sio UKUMBI WA IKULU!
Hebu angalia tiles za chini, Rangi waliyoichagua ni mbaya, haioneshi mng'ao kusadifu USAFI WA PAHALI PATAKATIFU a.k.a IKULU!
Wangeweza pia kuweka zulia la maana chini, angalia Dali la mbao lilivyo la hovyo!
Kweli walishindwa kuwapata mafundi wa kuzisugua hizo mbao zikawaka kama podium aliyokuwa anazungumzia Mh. Rais?
Tunapenda za kufanya mambo yetu ndio, lakini pia tunatumia watu wenye weledi na ufanisi kutufanyia kazi nzuri.
Ikulu Chamwino ni pakawaida sana. Hapaupi macho muwashawasha ya kupenda kuendelea kutazama si majengo tu Bali hata bustani haijaakisi makazi ya "MFALME!
NimeshakutukanaWaache wajenge chadema 2025 tutalivunjilia mbali.
Ikulu gani kama nyumba za tembe za wagogo
Yaani ukiangalia architectural buildings za udsm mfano ni nzuri kuliko majengo yote ya taasisi za serikali Dodoma ukiacha treasury squareWangekopi hata ramani ya ikulu ya dsm
Japo kitambo ila imetulia kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uvivu na upuuzi kwa nini ku copy na ku paste,ubunifu umeisha? kwani lazima ikulu zifanane? Tubuni majengo mapya yenye kuvutia na kuzingatia usalamaIliyopo ni ya muda tu Mkuu, inajengwa kama hii ya dar pale chamwino.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ukweli !! hapo wamechemshaOfisi ya Mkuu wa Nchi haina mwonekano mzuri.Huu ni ukweli mchungu, yaani hata maktaba mpya ya UDSM ni nzuri kuliko ofisi ya Mkuu wa nchi.
Very bad division some time magu anachezea hela bureTumeambiwa Hilo jengo litahamia Dodoma kwa kujengwa jipya
Ujinga na kukosa ubunifu,kwa nini kujenga jengo la ikulu ya kihistoria ya mkoloni ndo lihamishiwe Dom? kuna cha kujisifia hapa? huku ni kukosa ubunifu kwa watu wenye mavyeti kibao na mavitambi juuUnapoteza muda kujibu hii misukule? hawajui hata kama jengo hilohilo la ikulu wanayoisifia ndo linajengwa hapo Dodoma, hivyohivyo ikulu ya Dar ilivyo ndo itavyokuwa Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo kama hospital !!Kiserikali mno ndiyo kukoje huko, kwanini usiseme tu kwamba Ikulu ya Dodoma ni mbaya ? Au unaogopa ?