Kwa mtindo huu wataumia wanaume weng

Kwa mtindo huu wataumia wanaume weng

minze manonu

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
50
Reaction score
16
Kuna huu mtindo ulionzishwa kwa miaka ya hv karibuni ya kufungua min Pub yaan unakuta sehem ya kama vyumba viwili pametengenezwa vizuri an ful kiyoyozi, panauzwa bia za kila aina na wahudum wake unakuta ni wanawake wa ukweli na ukimtizama mara moja tu lazima msismko maana nguo wanazovaa wakati wa kuhudumia ni kutimiza wajibu tu kuwa kavaa lakin mmmh., ama kweli kwa namna hii wanaume weng wataumia
 
Kuna huu mtindo ulionzishwa kwa miaka ya hv karibuni ya kufungua min Pub yaan unakuta sehem ya kama vyumba viwili pametengenezwa vizuri an ful kiyoyozi, panauzwa bia za kila aina na wahudum wake unakuta ni wanawake wa ukweli na ukimtizama mara moja tu lazima msismko maana nguo wanazovaa wakati wa kuhudumia ni kutimiza wajibu tu kuwa kavaa lakin mmmh., ama kweli kwa namna hii wanaume weng wataumia

sema wenye tamaa wataumia siyo wanaume maana ata wasagaji wa kike watawatamani
 
kwani umelazimishwa uende huko kwenye min pub?
 
Kuna huu mtindo ulionzishwa kwa miaka ya hv karibuni ya kufungua min Pub yaan unakuta sehem ya kama vyumba viwili pametengenezwa vizuri an ful kiyoyozi, panauzwa bia za kila aina na wahudum wake unakuta ni wanawake wa ukweli na ukimtizama mara moja tu lazima msismko maana nguo wanazovaa wakati wa kuhudumia ni kutimiza wajibu tu kuwa kavaa lakin mmmh., ama kweli kwa namna hii wanaume weng wataumia
.Utaumia ww mlevi,Mzinifu,usietosheka na mshaba wa mjini sisi hapa tumezaliwa tumeyakuta na hatuoni jipya yakawaida tu.
 
ataumia yule asiyeweza kuzuia hisia zake,..
 
Mkishaumia mtaumiza na wake zenu! Wake zenu wakishaumia wataumiza marioos na marioos wataumiza gal friends zao! Mwishowe jamii nzima! Chukua hatua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom