Kwa mtindo huu, tutakwama tuu!

Kwa mtindo huu, tutakwama tuu!

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Siombei hivyo na sitaki iwe hivyo,lakini lazima Ukweli usemwe unapohitajika kusemwa.

Hivi unatoaje watu waliokua mtaani wakifanya shughuli zao binafsi na kuwateua kua wakurugenzi wa halmashauri au makatibu tawala? Hawa watu hawana uzoefu wowote wa uendeshaji wa shughuli za mifumo ya serikali za mitaa wala utumishi wa umma, unawaachaje maafisa mipango wazoefu na shughuli hizi?

Unawaachaje makatibu tarafa na watendaji wa kata tena wengi wenye elimu nzuri tu? Wapo maafisa kilimo, maafisa mifugo, maafisa elimu, maafisa afya, maafisa utumishi, wahasibu wengine wengi walioitumikia serikali kwa muda mrefu wakiwa viongozi wa juu katika serikali za mitaa na administrative structure ya serikali ni wazoefu nayo. Tena wengine ni wazoefu na ni wajumbe katika kamati mbali mbali za mipango ya maendeleo ya wilaya na tena wengine ni washiriki wazuri wa vikao na madiwani Katika kupanga mipango hiyo.

Kiongozi kama karibu taarifa au mtendaji wa kata ni watu wazoefu kwelikweli kwenye vikao vingi ndani ya halmashauri, kama mtu ana elimu ya kutosha kuna ugumu gani kumpandisha hadhi kuwa Mkurugenzi au katibu tawala wa halmashauri? Atakutia hasara gani sasa hapo? Ndio maana migogoro ya wakulima na wafugaji haiishi maeneo mbali mbali kwa sababu ya baadhi ya viongozi kukosa weledi katika uendeshaji wa serikali za mitaa kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi za chini kuitatua.

Haya mimi ninayaona awamu hii tu mengine labda yalifanywa na mwalimu Nyerere enzi za chama kimoja maana hakuwa na namna na pia kulikua na idadi ndogo ya wasomi.

Bado narudia kusema there is something going wrong, tutaota viwanda miaka na miaka lakini hatutakaa tusonge mbele tutabaki hivi hivi tu. Huu utaratibu wa sasa kuwapata viongozi hawa sio mzuri kabisa! Kama kuna mtu anafikiria kua hivi vyeo havina majukumu ni kujidanganya tu, ni suala la muda tu tutaona baadhi wakitenguliwa huku wengine wakikimbia ofisi wenyewe.

Hatujafikiria kabisa hasara ya gharama itakayopata serikali kumwandaa na mfunda kiongozi mpya mpaka azoee mazingira ya utumishi wa umma na kipimo cha gharama zitakazotumika kumwandaa kiongozi uzoefu! Gharama ya muda ni muhimu na kubwa sana kuliko zote hasa kwa muda huu ambao tunasema "hapa kazi tu", utendaji wa mtu ambaye hajawahi kukalia kiti cha Ofisi ya umma ni tofauti na mtu ambaye ni mzoefu wa siku nyingi katika utumishi wa umma.

Sipigi kelele bure tu humu lakini kama mdau kuna kitu mbeleni naona hakitakua sawa kabisa. Tunaweza kukwama vibaya sana.
 
Siombei hivyo na sitaki iwe hivyo,lakini lazima Ukweli usemwe unapohitajika kusemwa.

Hivi unatoaje watu waliokua mtaani wakifanya shughuli zao binafsi na kuwateua kua wakuruhenzi wa halmashauri au makatibu tawala? Hawa watu hawana uzoefu wowote wa uemdeshaji wa shughuli za mifumo ya serikali za mitaa wala utumishi wa umma, unawaachaje maafisa mipango wazoefu na shughuli hizi? Unawaachaje makatibu tarafa na watendaji wa kata tena wengi wenye elimu nzuri tu? Wapo maafisa lilimo, maafisa mifugo,maafisa elimu,maafisa afya,maafisa itumishi,wahasibu wengine wengi walioitumikia serikali kwa muda mrefu wakiwa viongozi wa juu katika serikali za mitaa na administrative structure ya serikali ni wazoefu nayo. Tena wengine ni wazoefu na ni wajumbe katika kamati mbali mbali za mipango ya maendeleo ya wilaya na tena wengine ni washiriki wazuri wa vikao na madiwani Katika kupanga mipango hiyo.


Kiongozi kama karibu taarifa au mtendaji wa kata ni watu wazoefu kwelikweli kwenye vikao vingi ndani ya halmashauri, kama mtu ana elimu ya kutosha kuna ugumu gani kumpandisha hadhi kua Mkurugenzi au katibu tawala wa halmashauri? Atakutia hasara gani sasa hapo? Ndio maana migogoro ya wakulima na wafugaji haiishi maeneo mnali mbali kwa sababu ya baadhi ya viongozi kukosa weledi katika uendeshaji wa serikali za mitaa kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi za chini kuitatua.




Haya mimi ninayaona awamu hii tu mengine labda yalifanywa na mwalimu Nyerere enzi za chama kimoja maana hakua na namna na pia kulikua na idadi ndogo ya wasomi.

Bado narudia kusema there is something going wrong, tutaota viwanda miaka na miaka lakini hatutakaa tusonge mbele tutabaki hivi hivi tu. Huu utaratibu wa sasa kuwapata viongozi hawa sio mzuri kabisa! Kama kuna mtu anafikiria kua hivi vyeo havina majukumu ni kujidanganya tu, ni suala la muda tu tutaona baadhi wakitenguliwa huku wengine wakikimbia ofisi wenyewe. Hatujafiliria kabisa hasara ya gharama itakayopata serikali kumwandaa na mfunda kiongozi mpya mpaka azoee mazingira ya itumishi wa umma na kipimo cha gharama zitakazotumika kumwandaa kiongozi uzoefu! Gharama ya muda ni muhimu na kubwa sana kuliko zote hasa kwa muda huu ambao tunasema "hapa kazi tu", utendaji wa mtu ambaye hajawahi kukalia kiti cha Ofisi ya umma ni tofauti na mtu ambaye ni mzoefu wa siku nyingi katika utumishi wa umma.


Sipigi kelele bure tu humu lakini kama mdau kuna kitu mbeleni naona hakitakua sawa kabisa. Tunaweza kukwama vibaya sama.
Sioni jipya zaidi ya kelele za chura
 
Yaani Serikali hii ina vichekesho vingi sana, halafu wale waliopo kazini muda mrefu wana sifa zote unafikiri wanajisikiaje?, ni kuwakatisha tamaa
 
Muda utatwambia. Sukar imefichwa muda umesema haipo. Bandarn kuko shwari muda umesema kuko tupu. Pesa kitaa ngumu, oo hali ni shwari mara pesa wameficha nitazbadilisha. Muda ni dawa jamani
 
Siombei hivyo na sitaki iwe hivyo,lakini lazima Ukweli usemwe unapohitajika kusemwa.

Hivi unatoaje watu waliokua mtaani wakifanya shughuli zao binafsi na kuwateua kua wakuruhenzi wa halmashauri au makatibu tawala? Hawa watu hawana uzoefu wowote wa uemdeshaji wa shughuli za mifumo ya serikali za mitaa wala utumishi wa umma, unawaachaje maafisa mipango wazoefu na shughuli hizi?

Unawaachaje makatibu tarafa na watendaji wa kata tena wengi wenye elimu nzuri tu? Wapo maafisa lilimo, maafisa mifugo,maafisa elimu,maafisa afya,maafisa itumishi,wahasibu wengine wengi walioitumikia serikali kwa muda mrefu wakiwa viongozi wa juu katika serikali za mitaa na administrative structure ya serikali ni wazoefu nayo. Tena wengine ni wazoefu na ni wajumbe katika kamati mbali mbali za mipango ya maendeleo ya wilaya na tena wengine ni washiriki wazuri wa vikao na madiwani Katika kupanga mipango hiyo.

Kiongozi kama karibu taarifa au mtendaji wa kata ni watu wazoefu kwelikweli kwenye vikao vingi ndani ya halmashauri, kama mtu ana elimu ya kutosha kuna ugumu gani kumpandisha hadhi kua Mkurugenzi au katibu tawala wa halmashauri? Atakutia hasara gani sasa hapo? Ndio maana migogoro ya wakulima na wafugaji haiishi maeneo mnali mbali kwa sababu ya baadhi ya viongozi kukosa weledi katika uendeshaji wa serikali za mitaa kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi za chini kuitatua.

Haya mimi ninayaona awamu hii tu mengine labda yalifanywa na mwalimu Nyerere enzi za chama kimoja maana hakua na namna na pia kulikua na idadi ndogo ya wasomi.

Bado narudia kusema there is something going wrong, tutaota viwanda miaka na miaka lakini hatutakaa tusonge mbele tutabaki hivi hivi tu. Huu utaratibu wa sasa kuwapata viongozi hawa sio mzuri kabisa! Kama kuna mtu anafikiria kua hivi vyeo havina majukumu ni kujidanganya tu, ni suala la muda tu tutaona baadhi wakitenguliwa huku wengine wakikimbia ofisi wenyewe.

Hatujafikiria kabisa hasara ya gharama itakayopata serikali kumwandaa na mfunda kiongozi mpya mpaka azoee mazingira ya itumishi wa umma na kipimo cha gharama zitakazotumika kumwandaa kiongozi uzoefu! Gharama ya muda ni muhimu na kubwa sana kuliko zote hasa kwa muda huu ambao tunasema "hapa kazi tu", utendaji wa mtu ambaye hajawahi kukalia kiti cha Ofisi ya umma ni tofauti na mtu ambaye ni mzoefu wa siku nyingi katika utumishi wa umma.

Sipigi kelele bure tu humu lakini kama mdau kuna kitu mbeleni naona hakitakua sawa kabisa. Tunaweza kukwama vibaya sama.

It is shame and disgrace of profession kumteua Kamoga kuwa DED
 
Kila kiongozi na mfumo wake wa kiutawala kwa hiyo tumuache JPM aendelee na utaratibu wake yawezekana ukawa na tija. Kwa hiyo yetu macho.
 
Watu wamekaa kwenye ofisi bila ubunifu wowote miaka yote wanaviziana kuongeza vyeo tu.

Hao waliotoka sekta binafsi nao ni watanzania wenye haki kama nyie.
Watashindwaje wakati kazi zina maelekezo ya kazi.

Umoja ni muhimu sasa kuliko kabla. Tuungane tutetee maslahi ya wafanyakazi. Kuliko kusubiria kupanda vyeo ndo mshahara ueleweke tudai kima cha chini kiongezeke maana 10% ndo hamna tena
 
Kila zama na kitabu chake ndio mana mavuvuzela wengi wamepewa udc ...hata wazee wa vitaulo wameteuliwa kua wakurugenzi
 
Kila kiongozi na mfumo wake wa kiutawala kwa hiyo tumuache JPM aendelee na utaratibu wake yawezekana ukawa na tija. Kwa hiyo yetu macho.

Awamu hii kujuanajuana 'NO', na dawa ni kuwaletea watu wapya kabisa na ni uchaguzi wenu kunyoa au kusuka!
 
Kila kiongozi na mfumo wake wa kiutawala kwa hiyo tumuache JPM aendelee na utaratibu wake yawezekana ukawa na tija. Kwa hiyo yetu macho.

We are talking from a scientific angle
 
Waliopo katika utumishi wa umma ndio waliokwamisha mambo mengi yasifanyike kwa utendaji wao mbovu........wakiteuliwa si tutaendelea kuwa palepale badala ya kusonga mbele? Tunajaribu wengine wa mtaani...!
Kama huelewi huwezi kujua kua tatizo ni mfumo na sio watu.
 
Hivi tatizo si mfumo? Ndo unafumuliwa sasa.
Mifumo haufumuliwi kwa kutumbua watu na kuweka wapya! Hii tatizo limetemgezwa na sheria zilizopo na kwa mujibu wa katiba hii iliyopitwa na na wakati. Kama ni kubadili mfumu hilo ni suala la kitaalamu na sio timua timua.
 
Watu wamekaa kwenye ofisi bila ubunifu wowote miaka yote wanaviziana kuongeza vyeo tu.

Hao waliotoka sekta binafsi nao ni watanzania wenye haki kama nyie.
Watashindwaje wakati kazi zina maelekezo ya kazi.

Umoja ni muhimu sasa kuliko kabla. Tuungane tutetee maslahi ya wafanyakazi. Kuliko kusubiria kupanda vyeo ndo mshahara ueleweke tudai kima cha chini kiongezeke maana 10% ndo hamna tena
Mkuu ni ngumu sana wewe kulielewa hili suala kitaalamu.Linahitaji uelewa wa mambo ya KIU tawala(Leadership and management rules)
 
Jamani ifahamike kwamba hii ni nchi yetu sote haijalishi mtu amesoma au hajasoma. Binafsi inanibariki kuona hata yule asie na uzoefu wowote anapewa nafasi ya kuongoza na kufaidi keki ya taifa Lake. Uzoefu cku zote hupatikani on the go. Ni kama kuendesha baiskeli. As you ride you get more stability. Wasomi sometime wanazingua. Proposo ndeeeeefu.... Matokeo hafifu alafu unambiwa mamilion yametumika. Tutumie watu wa kada ya kati alafu tuone kama watashindwa kudeliva Hao makatibu tarafa, maafisa utumishi n. K waendelee kutumikia nafasi zao na wakizidi kuzingua watupishe
 
Back
Top Bottom