Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,012
wakuu kwa kitendo cha mkuu kuteua wabunge wa upinzani(hasa baada ya kuona juzi mageuzi wakipatana na chadema) naona ni kama anataka kutengeneza alliance ya vyama maana ameshaona ccm peke yake haitaweza shinda so tusijeshangaa 2015 CUF,mageuzi na CCM kuunga mkono mgombea mmoja. chadema ijipange kupambana na nguvu kubwa!