kwa mtaji huu sijui?

drphone

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
3,542
Reaction score
295
jana rafiki yangu alikamatwa na tgo kwa kosa la kutanua uku na uku tgo wakataka 200000 yani kila mmoja laki jamaa akaona nyingi bembeleza wakakataa wakampeleka kituoni akuna dhamana mpaka j3 mahakamani na mahakamani wanasema ni siku 14 kwanza kwa trafiki kesi nimefwatilia nimekuta madereva kibao wapo ndani kwa staili hiyo asa wa daladala kwa staili naona heshima itakuwepo kwa kweli ila inauma siku 14 yani no dhamana no nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…