kwa mswati ni balaa.

kwa mswati ni balaa.

Prof

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2010
Posts
1,577
Reaction score
2,469
swazi people are real happy with their culture and traditions. it is the only country remain in Africa where norm and values have place in the heart of people. hivi tuna mabinti ambao bado pure and natural kama hawa?
 

Attachments

  • Reed1.jpg
    Reed1.jpg
    28.2 KB · Views: 1,026
  • Reed2.jpg
    Reed2.jpg
    57.4 KB · Views: 947
Ndio maana nimeamua kupiga teke kupitia panya road kuelekea huko kwa Mswati, sijui ntafika lini!. Nataka nikajionee mwenyewee.
 
Ndo maana ukimwi unaenea kwa kasi sana afrika, sasa minofu kama hiyo uvae nailoni tena ya nini?
 
Ina maana kua unaona sawa anavyo chukua young virgin teenagers kila mwaka kama mke wake??
 
Hii tena ni ya mwaka huu? mimi sitaki kwenda huko uzalendo utanishinda.
 
Ahaa jamani mwenzenu chombo kishainuka balaa mpka mishipa inauma!! Hivi jamaani Mswati mbona anafaidi?
 
Mswatiiiiiiiiii dah hii ingekuwa ndo utaratibu wa kuoa sijui ingekuwaje. Udhalilishaji mkubwa huu wa dada zetu!
 
Back
Top Bottom