View attachment 1136786
Huo hapo ni mshahara wa mwalimu mwenye degree, kakaa darasani miaka mingi lakini anaishia kulipwa kiasi hicho sawa na Tsh 15000/= kwa siku.
Kwa mshahara huo ulipie nyumba, umeme na maji, mshahara huo utoe mahitaji ya familia, usaidie ndugu kule kijijini, ni kiasi gani utatunza kwa ajili ya maendeleo?
Hivi kwa mshahara huu unaweza kutunza mpaka ujenge nyumba ya kawaida tu ya milioni 30, unaweza kutunza na kununua kagari kweli?
Na hapo utakuta mtu anajisifu kabisa mimi ni mwalimu.
Huo hapo ni mshahara wa mwalimu mwenye degree, kakaa darasani miaka mingi lakini anaishia kulipwa kiasi hicho sawa na Tsh 15000/= kwa siku.
Kwa mshahara huo ulipie nyumba, umeme na maji, mshahara huo utoe mahitaji ya familia, usaidie ndugu kule kijijini, ni kiasi gani utatunza kwa ajili ya maendeleo?
Hivi kwa mshahara huu unaweza kutunza mpaka ujenge nyumba ya kawaida tu ya milioni 30, unaweza kutunza na kununua kagari kweli?
Na hapo utakuta mtu anajisifu kabisa mimi ni mwalimu.