kijijini urambo
Member
- Sep 9, 2012
- 10
- 0
Habari wanajamvi.
Mimi ni daktari wa binadamu niko Nagpur India, naomba msaada wa taarifa kwa mwenye nayo kwamba wizara ya afya huko Tz wanatarajia kutoa majina lini ya walotuma maombi? Nami ni mmoja wao.
Kibali changu cha kuishi huku kinaisha hivi karibuni badala ya ku-renew natarajia kurudi nyumbani kujenga taifa langu.
Mimi ni daktari wa binadamu niko Nagpur India, naomba msaada wa taarifa kwa mwenye nayo kwamba wizara ya afya huko Tz wanatarajia kutoa majina lini ya walotuma maombi? Nami ni mmoja wao.
Kibali changu cha kuishi huku kinaisha hivi karibuni badala ya ku-renew natarajia kurudi nyumbani kujenga taifa langu.