everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Wazo zuri sana
Tuache michepuko.......
Wazo zuri sana
kwakiasi kikubwa kutokana na uelewa wangu katika ndoa.wake zetu ndio chanzo kwa waume kuchepuka maana kwenye uchumba anakua mtiifu ukisha muweka ndani yeye ndio hugeuka baba na ukisha mzalisha ndio kabisaaa huduma zote kwa dada wakazi.
Kuna umuhimu wa kuweka jukwaa la dini maana....
kwakiasi kikubwa kutokana na uelewa wangu katika ndoa.wake zetu ndio chanzo kwa waume kuchepuka maana kwenye uchumba anakua mtiifu ukisha muweka ndani yeye ndio hugeuka baba na ukisha mzalisha ndio kabisaaa huduma zote kwa dada wakazi.
Uswali zote hizo jf umwachie nani? Teh muda wote nakuona unazunguka zunguka humuustashi ndo nani?au ulimean ustadhi......ok acha nkujib bibie fanya 2+4+4+3+2 hapo bado na swala za sunna vipi waneed nkuteach tushirikiane ktk ibada
Uswali zote hizo jf umwachie nani? Teh muda wote nakuona unazunguka zunguka humu
ahsante ustadh mi muumini wa jumapili