Kwa mlio kwenye ndoa na wengine karibuni

Kwa mlio kwenye ndoa na wengine karibuni

kwakiasi kikubwa kutokana na uelewa wangu katika ndoa.wake zetu ndio chanzo kwa waume kuchepuka maana kwenye uchumba anakua mtiifu ukisha muweka ndani yeye ndio hugeuka baba na ukisha mzalisha ndio kabisaaa huduma zote kwa dada wakazi.
 
Nashangaa post nzuri kama hizi watu hawazichangamkii! lakini post zinazoendekeza na kushabikia michepuko zina page kibao! Ina maana humu ndani asilimia kubwa ni kina baba na kina mama na mabinti wa michepuko? Mbona miss nanhii na nanhii dada hamchangamkii Uzi huu? naogopa mie!
 
Asante sana ujumbe umefika na kweli Namshukuru Mungu nilichepuka zaidi ya mwaka 1 na miezi kadhaa....ila maisha yalikuwa ya stress mda wote,nina kwangu nina usafiri, kipato kizuri lakini amani ya mapenz sikuwa nayo kwani kusaliti ni dhambi mbaya sana hata ukitembea kama unamuogopa mungu huwez kuwa na furaha....Nimerudi home familia sasa inafuraha sana,mimi mwenyew nina amani na sina chembe ya stress hata sasa simu haina tena mapassword na siendi nayo bafuni kwani haina madhara KWELI KABSA MCHEPUKO SIO DILI
 
mke niliemuoa sio niliemtalajia,ivyo nahisi mchepuko wanipa amani ya moyo sana,hauna matumizi makubwa wala hauombi pesa sema tatizo lake na wenyewe unachepuka.
 
mke niliemuoa sio niliemtalajia, hivyo nahisi mchepuko unanipa amani ya moyo sana, hauna matumizi makubwa wala hauombi pesa sema tatizo lake na wenyewe unachepuka.
Te te teeeeeee 😂😂
 
Nashangaa post nzuri kama hizi watu hawazichangamkii! lakini post zinazoendekeza na kushabikia michepuko zina page kibao! Ina maana humu ndani asilimia kubwa ni kina baba na kina mama na mabinti wa michepuko? Mbona miss nanhii na nanhii dada hamchangamkii Uzi huu? naogopa mie!

kumbe wanajulikana eeeh
 
Back
Top Bottom