Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Kutoka kitabu cha Binadamu na Maendeleo kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere, Mwalimu alisema ili binadamu awe huru anatakiwa awe na uhuru katika njia tatu;-
1. Uhuru wa Kujitawala,
2. Uhuru wa kutosumbuliwa na njaa maradhi na umaskini pasipo sababu za msingi na
3. uhuru wa mtu binafsi.
JE WATANZANIA KWA MIAKA HIYO MIAKA 50 TUNA UHURU??
1. Uhuru wa Kujitawala,
2. Uhuru wa kutosumbuliwa na njaa maradhi na umaskini pasipo sababu za msingi na
3. uhuru wa mtu binafsi.
JE WATANZANIA KWA MIAKA HIYO MIAKA 50 TUNA UHURU??