Kwa mheshimiwa sana dr.Mary Nagu

Kwa mheshimiwa sana dr.Mary Nagu

FIKRA HAI

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2013
Posts
231
Reaction score
81
Mheshimiwa Sana dr.Mary Michael Nagu waziri na mbunge wa jimbo la Hanag, nakuletea lalamiko la wananchi wa kijiji cha Getasam ambao wamekwama hata kutoa mazao Yao mashambani kutokana na korongo kubwa lililokatika nakutenganisha vitongoji vya kijiji hicho,aidha inasemekana tangu uchaguzi wa 2010 hujawahi kufika kijijini hapo.wanachi wa kijiji hicho wanahitaji daraja amabalo litawawezesha jusafirisha mazao Yao kutoka mashambani kwenda majumbani na pia soko la mazao ambalo lipo Endasaki,aidha wananchi hao wamebaki katika mazingira magumu angali wanamwakilishi tena waziri katika serikali hii sikivu.Tunaomba tujengewe daraja mheshmiwa nbunge.
 
utasubiri sana. pole.

Mheshimiwa Sana dr.Mary Michael Nagu waziri na mbunge wa jimbo la Hanag, nakuletea lalamiko la wananchi wa kijiji cha Getasam ambao wamekwama hata kutoa mazao Yao mashambani kutokana na korongo kubwa lililokatika nakutenganisha vitongoji vya kijiji hicho,aidha inasemekana tangu uchaguzi wa 2010 hujawahi kufika kijijini hapo.wanachi wa kijiji hicho wanahitaji daraja amabalo litawawezesha jusafirisha mazao Yao kutoka mashambani kwenda majumbani na pia soko la mazao ambalo lipo Endasaki,aidha wananchi hao wamebaki katika mazingira magumu angali wanamwakilishi tena waziri katika serikali hii sikivu.Tunaomba tujengewe daraja mheshmiwa nbunge.
 
Mheshimiwa Sana dr.Mary Michael Nagu waziri na mbunge wa jimbo la Hanag, nakuletea lalamiko la wananchi wa kijiji cha Getasam ambao wamekwama hata kutoa mazao Yao mashambani kutokana na korongo kubwa lililokatika nakutenganisha vitongoji vya kijiji hicho,aidha inasemekana tangu uchaguzi wa 2010 hujawahi kufika kijijini hapo.wanachi wa kijiji hicho wanahitaji daraja amabalo litawawezesha jusafirisha mazao Yao kutoka mashambani kwenda majumbani na pia soko la mazao ambalo lipo Endasaki,aidha wananchi hao wamebaki katika mazingira magumu angali wanamwakilishi tena waziri katika serikali hii sikivu.Tunaomba tujengewe daraja mheshmiwa nbunge.

Ni rahisi halihitaji waziri ni kero inayotakiwa kuibuliwa kijijini na kupitia kikao cha kamati ya maendeleo ya kata na kuingizwa halmashauri ya wilaya kwa ajili ya kupangiwa bajeti
 
Mheshimiwa Sana dr.Mary Michael Nagu waziri na mbunge wa jimbo la Hanag, nakuletea lalamiko la wananchi wa kijiji cha Getasam ambao wamekwama hata kutoa mazao Yao mashambani kutokana na korongo kubwa lililokatika nakutenganisha vitongoji vya kijiji hicho,aidha inasemekana tangu uchaguzi wa 2010 hujawahi kufika kijijini hapo.wanachi wa kijiji hicho wanahitaji daraja amabalo litawawezesha jusafirisha mazao Yao kutoka mashambani kwenda majumbani na pia soko la mazao ambalo lipo Endasaki,aidha wananchi hao wamebaki katika mazingira magumu angali wanamwakilishi tena waziri katika serikali hii sikivu.Tunaomba tujengewe daraja mheshmiwa nbunge.

Hivi huyu sio yule waliyesema "kihiyo" vyeti vya kununua.
 
Atakuwa amesikia.
Mama. msisahau mlikotoka.
Mjini ni mahali pa kutafuta. Rudi ukale na hao waliokupa kazi shosti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom