hapa mi naona majibu ya huo waraka,au barua ya wazi kwa rais,kama atakujibu utakua una bahati sana mdau, mi nadhani hapo angetakiwa tu atuachie nchi yetu na arudi zake comoro, maana sina uhakika na uraia wake kma ni Mtanzania original kwani tunayotendewa wananchi na viongozi wake,yeye inclusive yanatisha na wala hatoi kauli yoyote,so nadhani mda ndio huu a step down . . . .na atutangazie tareh mpya ya uchaguzi mkuu . . . . . .