Kwa mfano wewe ni CCM

Kwa mfano wewe ni CCM

Mfilisti

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
3,727
Reaction score
19,465
watu hawaipendi CCM utadhani ni ukoma
 

Attachments

  • 1444199276377.jpg
    1444199276377.jpg
    18 KB · Views: 730
Ndio maana huna akili na maisha yako ni magumu.
Once again nasikitika kuona jukwaa la JF linatumika ku-judge, kudhalilisha na kutukana watu. :A S angry:Ningefurahi iwapo tungeweka heshima kwa wote hata wale walio tofauti na sisi kirangi, kilugha, kidini, kisiasa, kielimu, kiuchumi na kadhalika. Kukaa wote hapa jamvini hakumaanishi kuwa wote hatuna akili kama wewe au tuna matatizo.
Just a word: Master degree holder, good procurement specialist, living abroad. CCM is the initials of my names and of course nilishachukua changu mapema.
 
Once again nasikitika kuona jukwaa la JF linatumika ku-judge, kudhalilisha na kutukana watu. :A S angry:Ningefurahi iwapo tungeweka heshima kwa wote hata wale walio tofauti na sisi kirangi, kilugha, kidini, kisiasa, kielimu, kiuchumi na kadhalika. Kukaa wote hapa jamvini hakumaanishi kuwa wote hatuna akili kama wewe au tuna matatizo.
Just a word: Master degree holder, good procurement specialist, living abroad. CCM is the initials of my names and of course nilishachukua changu mapema.

Acha blah blah,mabadiliko ni lazima mwaka huu. Chagua Lowassa
 
Badilikeni wenyewe,hatuwezi kuwa nyumbu kiasi hicho.

inaonyesha ni jinsi gani ulivyo linyumbu kwan kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mijizi ya ccm miaka yote hio ccm imekufanyia nn mpaka uifanye kama Mungu wako
 
Kwa hiyo unafikili kuwa wewe unaakili kuliko huyo jamaa nafikili usingetukana Hilo tusi

Jifunze kwanza Kiswahili.

Kwa hiyo = Kwahiyo
unafikili= unafikiri
unaakili= una akili
nafikili = ninafikiri
Hilo = hilo

Chagua mabadiliko, elimu itakuwa bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom