Kwa Mfano Mwamba Angesomea Harvad Ingekuaje?

Kwa Mfano Mwamba Angesomea Harvad Ingekuaje?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,853
Reaction score
35,614
Wakuu
Hapa najiuliza maswali kwa mfano mwamba mwenye kiburi cha elimu angepata bahati ya kupita harvad ingekuaje?
Au elimu yake ingesaidia kugundua mfumo wowote hata wa kodi kwenye nchi hii hali ingekua vipi?
Yaani achana na hizi elimu za hapa kwetu kijijini ambazo kiukweli tofauti ya msomi na asiesoma wala haipo tena muda mwingine asiesoma anaakili sana kuliko aliesoma!
Sasa muulize elimu yake hiyo ya kukariri ina impact gani kwenye hiki kijiji chetu utakuta vichekesho sana hata kule mtaani kwao haijafanya lolote la maana, yaani hata wanafamilia wake tu hawajauacha umaskini.
Nawaza angepita alipopita Obama, Chenge, ingekuaje?
 
Wakuu
Hapa najiuliza maswali kwa mfano mwamba mwenye kiburi cha elimu angepata bahati ya kupita harvad ingekuaje?
Au elimu yake ingesaidia kugundua mfumo wowote hata wa kodi kwenye nchi hii hali ingekua vipi?
Yaani achana na hizi elimu za hapa kwetu kijijini ambazo kiukweli tofauti ya msomi na asiesoma wala haipo tena muda mwingine asiesoma anaakili sana kuliko aliesoma!
Sasa muulize elimu yake hiyo ya kukariri ina impact gani kwenye hiki kijiji chetu utakuta vichekesho sana hata kule mtaani kwao haijafanya lolote la maana, yaani hata wanafamilia wake tu hawajauacha umaskini.
Nawaza angepita alipopita Obama, Chenge, ingekuaje?
Mwaba nani? nchemba?
 
Wakuu
Hapa najiuliza maswali kwa mfano mwamba mwenye kiburi cha elimu angepata bahati ya kupita harvad ingekuaje?
Au elimu yake ingesaidia kugundua mfumo wowote hata wa kodi kwenye nchi hii hali ingekua vipi?
Yaani achana na hizi elimu za hapa kwetu kijijini ambazo kiukweli tofauti ya msomi na asiesoma wala haipo tena muda mwingine asiesoma anaakili sana kuliko aliesoma!
Sasa muulize elimu yake hiyo ya kukariri ina impact gani kwenye hiki kijiji chetu utakuta vichekesho sana hata kule mtaani kwao haijafanya lolote la maana, yaani hata wanafamilia wake tu hawajauacha umaskini.
Nawaza angepita alipopita Obama, Chenge, ingekuaje?
Kwani ukitaja mwigulu nchemba unaogopa nini?
 
Alirudishwa kama waziri wa sheria na katiba na aliaapishiwa chatle utakua umepoteza kumbukumbu
Oooh! Kulikuwa hakuna muunganiko kati ya mkono na oblongata. Huwez amin nilikuwa naandika katiba na sheria ila sikujua aliapishiwa chattke. Pia najua alikaa bila uaziri miez kama mitano.
 
Back
Top Bottom