kwa mdada aliyeacha/kuachwa

kwa mdada aliyeacha/kuachwa

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
951
Reaction score
412
habari zenu wanajamvi...



Ninaimani muwazima wa afya.... dhumuni La kukimbiliaa apa jamvini, kwa mdada ambaye yupo single naomba ani PM maana nahitaji Faraja..

Nimwaka sasa toka niachane na Ex wangu.... CV yangu ni mwanafunzi wa ud naingia mwaka wa 3 BSC petroleum chemistry... Nina 25 years
 
Ina maana chuoni hakuna,mtaani hakuna,kijijini kwenu,hata sokoni hakuna wananwake wa kukupa faraja? Au kwa sababuvya udomo zege wako.baki hivyo hivyo hakuna mwanamke atakaye ku pm na utaishia kuooga puli.chengukia uwanja wa fisi utaugua mshipa ngili wewe
 
Kweli siku hizi wanaume ni wachache sana!
 
Ina maana chuoni hakuna,mtaani hakuna,kijijini kwenu,hata sokoni hakuna wananwake wa kukupa faraja? Au kwa sababuvya udomo zege wako.baki hivyo hivyo hakuna mwanamke atakaye ku pm na utaishia kuooga puli.chengukia uwanja wa fisi utaugua mshipa ngili wewe

Sa wa huko mtaani si ndio tuko huku Jf,
Mtoa mada natuma applikesheni yangu Pm
 
Mapenzi yana wenyewe.mi sa hivi mtu ukiniambia nakupenda naona kama unanitukana ninavoyachukia haya mahusiano.maumivu yake bora mtu uwe single uwe happy
 
nyie wa udsm si ndo mnadaigi mnapendwa na mademu?? udomo zege utawamaliza!
 
Ina maana chuoni hakuna,mtaani hakuna,kijijini kwenu,hata sokoni hakuna wananwake wa kukupa faraja? Au kwa sababuvya udomo zege wako.baki hivyo hivyo hakuna mwanamke atakaye ku pm na utaishia kuooga puli.chengukia uwanja wa fisi utaugua mshipa ngili wewe

Acha kuongelea nafsi za watu.
Wapo watakao m pm.
 
Ina maana chuoni hakuna,mtaani hakuna,kijijini kwenu,hata sokoni hakuna wananwake wa kukupa faraja? Au kwa sababuvya udomo zege wako.baki hivyo hivyo hakuna mwanamke atakaye ku pm na utaishia kuooga puli.chengukia uwanja wa fisi utaugua mshipa ngili wewe

Yeye kaona hapa jf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom