Nimewahi mara nyingi nyingi kubahatika kukutana na mazoezi ya Mandata ( Watoto wa Tata Nyakoro ) katika Kambi zao mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam na Kuzizoea ila kwa mazoezi ' niliyoyachungulia ' leo kupita ' tobo ' la Bati pale Oysterbay Undatani nashauri sana na chonde chonde nawaombeni wale mtakaoenda kutimiza haki yenu Kesho kaitekelezeni na ondokeni tu haraka na kwa wale ambao labda leo hii wamelazwa ' Gesti ' huku wakiwa ' Mabaunsa ' kusudi Kesho wakafanye ' harakati ' zao wasithubutu kwani wanaweza wakasababisha Familia zao nyingi zikawa katika ' Maombolezo ' ya Kutukuka.
Na kilichonishtua zaidi na hadi kuamua kuja haraka sana humu kuwaonya mapema kuhusu Kesho ni kwamba kuna zoezi moja la mwisho walikuwa wakilifanya ambapo niliwaona karibia Mandata wote pale wakipiga ' Kung Fu ' ambazo hata ' Muasisi ' mwenyewe Bruce Lee sikuwahi kuona akizipiga katika zile Sinema zake Kali za ' Fist of Fury ', ' Big Boss ' na ' Enter the Dragon ' hadi kupelekea Mimi kuishiwa nguvu, kusisimka na kuwaonea huruma waliopanga kufanya ' Harakati ' zao Kesho hasa katika mitaa yetu ya Kinondoni.
Hivi kama wao wenyewe tu ( Mandata ) ambao walikuwa ni wengi kidogo pale Uwanjani Oysterbay na kufanya ' demo ' yao moja ya dakika 15 tu ya jinsi ya kukabiliana na wenye ' viherehere ' vya kufanya ' Harakati ' Kesho ilisababisha Mandata kama 73 hivi Kuzimia na wengine Kujeruhiwa kwa ' drills ' zao japo baadae waliamka kwa ' ukakamavu ' walipomuona Boss wao ( Tata Nyakoro ) japo walikuwa ' wakipepesuka ' Kimtindo hivi itakuwaje Kesho wakiamua kuhamishia hiki walichokuwa wakikifanyia majaribio leo kwa wenye nia mbaya / wafanya harakati?
Msiseme sijawatahadharisha mapema.
Shikamooni Mandata wote hasa wa Oysterbay!
Akili ndogoNimewahi mara nyingi nyingi kubahatika kukutana na mazoezi ya Mandata ( Watoto wa Tata Nyakoro ) katika Kambi zao mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam na Kuzizoea ila kwa mazoezi ' niliyoyachungulia ' leo kupita ' tobo ' la Bati pale Oysterbay Undatani nashauri sana na chonde chonde nawaombeni wale mtakaoenda kutimiza haki yenu Kesho kaitekelezeni na ondokeni tu haraka na kwa wale ambao labda leo hii wamelazwa ' Gesti ' huku wakiwa ' Mabaunsa ' kusudi Kesho wakafanye ' harakati ' zao wasithubutu kwani wanaweza wakasababisha Familia zao nyingi zikawa katika ' Maombolezo ' ya Kutukuka.
Na kilichonishtua zaidi na hadi kuamua kuja haraka sana humu kuwaonya mapema kuhusu Kesho ni kwamba kuna zoezi moja la mwisho walikuwa wakilifanya ambapo niliwaona karibia Mandata wote pale wakipiga ' Kung Fu ' ambazo hata ' Muasisi ' mwenyewe Bruce Lee sikuwahi kuona akizipiga katika zile Sinema zake Kali za ' Fist of Fury ', ' Big Boss ' na ' Enter the Dragon ' hadi kupelekea Mimi kuishiwa nguvu, kusisimka na kuwaonea huruma waliopanga kufanya ' Harakati ' zao Kesho hasa katika mitaa yetu ya Kinondoni.
Hivi kama wao wenyewe tu ( Mandata ) ambao walikuwa ni wengi kidogo pale Uwanjani Oysterbay na kufanya ' demo ' yao moja ya dakika 15 tu ya jinsi ya kukabiliana na wenye ' viherehere ' vya kufanya ' Harakati ' Kesho ilisababisha Mandata kama 73 hivi Kuzimia na wengine Kujeruhiwa kwa ' drills ' zao japo baadae waliamka kwa ' ukakamavu ' walipomuona Boss wao ( Tata Nyakoro ) japo walikuwa ' wakipepesuka ' Kimtindo hivi itakuwaje Kesho wakiamua kuhamishia hiki walichokuwa wakikifanyia majaribio leo kwa wenye nia mbaya / wafanya harakati?
Msiseme sijawatahadharisha mapema.
Shikamooni Mandata wote hasa wa Oysterbay!
Tena wa Mara!!!Huyu ndo anajiita mwanaume kutoka mkoani mara halafu unakuwa muoga namna hii.?bure kabisa
ACHA KUIDHALILISHA JESHI LETU LA POLISI ..Waambie hao waliokutuma kama wanajiamini waje bila ile kitu ya mzungu. Mkono kwa mkono waone na mazoezi yao hayo. Askari polisi mchumba tu hakuna anachojua kila cku tunawaona wanavyotiwa vibao na watoto wa JKT
Kuna ' Mandata ' wanne niliwaona wanapiga ' Kung Fu ' wakiwa angani na mmoja wao alipotua tu chini ' Figo ' yake ikafeli japo kuna zoezi lingine walipewa hapo hapo na ' Figo ' yake ikaamka na haikufeli tena hadi mazoezi / mafunzo yao yanamalizika jioni ya leo.
Mwongo ww na vitambi vyao vimeyeyuka ama?Nimewahi mara nyingi nyingi kubahatika kukutana na mazoezi ya Mandata ( Watoto wa Tata Nyakoro ) katika Kambi zao mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam na Kuzizoea ila kwa mazoezi ' niliyoyachungulia ' leo kupita ' tobo ' la Bati pale Oysterbay Undatani nashauri sana na chonde chonde nawaombeni wale mtakaoenda kutimiza haki yenu Kesho kaitekelezeni na ondokeni tu haraka na kwa wale ambao labda leo hii wamelazwa ' Gesti ' huku wakiwa ' Mabaunsa ' kusudi Kesho wakafanye ' harakati ' zao wasithubutu kwani wanaweza wakasababisha Familia zao nyingi zikawa katika ' Maombolezo ' ya Kutukuka.
Na kilichonishtua zaidi na hadi kuamua kuja haraka sana humu kuwaonya mapema kuhusu Kesho ni kwamba kuna zoezi moja la mwisho walikuwa wakilifanya ambapo niliwaona karibia Mandata wote pale wakipiga ' Kung Fu ' ambazo hata ' Muasisi ' mwenyewe Bruce Lee sikuwahi kuona akizipiga katika zile Sinema zake Kali za ' Fist of Fury ', ' Big Boss ' na ' Enter the Dragon ' hadi kupelekea Mimi kuishiwa nguvu, kusisimka na kuwaonea huruma waliopanga kufanya ' Harakati ' zao Kesho hasa katika mitaa yetu ya Kinondoni.
Hivi kama wao wenyewe tu ( Mandata ) ambao walikuwa ni wengi kidogo pale Uwanjani Oysterbay na kufanya ' demo ' yao moja ya dakika 15 tu ya jinsi ya kukabiliana na wenye ' viherehere ' vya kufanya ' Harakati ' Kesho ilisababisha Mandata kama 73 hivi Kuzimia na wengine Kujeruhiwa kwa ' drills ' zao japo baadae waliamka kwa ' ukakamavu ' walipomuona Boss wao ( Tata Nyakoro ) japo walikuwa ' wakipepesuka ' Kimtindo hivi itakuwaje Kesho wakiamua kuhamishia hiki walichokuwa wakikifanyia majaribio leo kwa wenye nia mbaya / wafanya harakati?
Msiseme sijawatahadharisha mapema.
Shikamooni Mandata wote hasa wa Oysterbay!
Si ndio aise watu wenyewe wazaifu wakinyimwa kipochi manyoa wanajipiga pyu pyu pyuHao ndio wale wanaouwana kwajili ya mapenzi?
Acha umbeya bwege wewe, dume zima unachungulia dirishaniKuna ' Mandata ' wanne niliwaona wanapiga ' Kung Fu ' wakiwa angani na mmoja wao alipotua tu chini ' Figo ' yake ikafeli japo kuna zoezi lingine walipewa hapo hapo na ' Figo ' yake ikaamka na haikufeli tena hadi mazoezi / mafunzo yao yanamalizika jioni ya leo.