Kwa matusi haya kamwe sitakusamehe Benjamin Netanyahu

Kwa matusi haya kamwe sitakusamehe Benjamin Netanyahu

Hii hotuba ni Botha ila imefanyiwa editing kuongeza waarabu tu..ili kuchochea watu wasio makini na wadadisi kama ww.
Mkuu uko sahihi. Hotuba hii ilitolewa na kaburu akiwabeza ngozi nyeusi! Hii sio ya Netanyahu. Kile ambacho sielewagi, na jinsi gani tunatumia JF kama sehemu ya kueneza propoganda mbalimbali. Ni kweli kuwa JF kama ilivyo kwa mitandao ya kijamii hutumika kuhabarisha, lakini nadhani baadhi ya habari zinatumika ama kuwahamisha watu kutoka kwenye mjadala makini na kuhamia kwingineko. Mfano, mjadala ulioko humu kuhusu Gwajima, umehamisha attention ya wengi kutoka kwenye Katiba na uchaguzi na matokeo tume-focus kwa Gwajima (mtu mmoja tu) badala ya mitazamo mikubwa ya kitaifa
 
Bujibuji
It is the wesk who think in those terms so as to survive.
 
Last edited by a moderator:
drito

Alichodanganya hapo nini? Tatizo hamfuatilii mambo.
 
Last edited by a moderator:
Kuibariki Israel hakumaanishi viongozi wao watukane na kudharau rangi yangu ya ngozi. Sinza ugomvi na Israel ila ninaugomvi na Benjamin hadi atuombe msamaha

Hii hotuba sio ya Netanyahu ni ya PW Botha wa South Africa enzi za ubaguzi wa rangi
 
us*nge huu unakopi habari na kupaste hiyo ni ya botha speech ya aprtheid poor you.
 
Lakini lipi ndio tusi hapo hata kama ya Botha. Tumedhihirisha wenyewe.
 
us*nge huu unakopi habari na kupaste hiyo ni ya botha speech ya aprtheid poor you.

mods wapeleke juu speech ya Botha, au wafute thread, mods kuweni active, mleta mada anapotosha wasio juwa.
 
Tatizo kuna watu wanawachukia waisrael kwa nguvu zote hadi wanajaribu kukopi mambo ya hovyo
 
Nlikuwa nilishapata hasira thank God...nilisikiliza hotuba ya huyu bwana congress he is way too smart to do a stupid thing like this...
 
Kuibariki Israel hakumaanishi viongozi wao watukane na kudharau rangi yangu ya ngozi. Sinza ugomvi na Israel ila ninaugomvi na Benjamin hadi atuombe msamaha
Sawa Kiongozi, ingawa sidhani kama atakubali kuomba Msamaha. Si unamjua Bibi jinsi alivyo? Dawa yake, wewe muonyeshe kwa vitendo tu,

Salama lakini Kiongozi?
 
hotuba za apatheird anawekewa netanyahu! mkuu KASOME TENA TENA MARA HII PANUA IYO M/CARD ANGALAU IFIKE 128 MB
 
Potelea mbali kama si ya Nutsnyahu, ila huyu mtu na kabila lake wabaguzi kweli kweli. Si coincidence kuwa Israel ilikuwa rafiki mkubwa wa apartheid lakini alipokuja Mandela ukafifia. Netanyahu ndiye kiongozi wa dunia mkuu peke ambaye hakuhudhuria mazishi ya Mandela. Mijitu myeusi hata hivyo itamtetea kwa sababu eti mungu wao amewabariki. Nani aliyesema hivyo? Utakuta ni hao hao majews!
 
Hii kitu tushaielezea mara kibao, ni edited speech ya BOTHA lakini msioelewa mnadanganywa kirahisi tu. Mods, hebu unganisheni huu uzi na yale ya nyuma!!!
 
nami sikuona sababu ya msingi ya netanyahu kumhusisha mtu mweusi
 
Lakini ukweli ndio huo.waafrika tunabaguliwa na waupe.hata hapa bongo ukikutana muhindi utajuta kuzaliwa mweusi.
 
Back
Top Bottom