Director Kruzy
New Member
- Dec 7, 2019
- 3
- 4
Soma foundation course ya Open University miezi 6 baada ya hapo omba bachelor degree unayoitaka katika chuo chochote utimize ndoto zakoMm nimemaliza kidato Cha 6 mwaka 2022 kiuhalisia nimepataje matokeo mabaya yaan Division 3 ya 14 Combination EGM
Economics D
Geography E
Mathematics E
Ila na ndoto za kusoma Degree ya accounting ila kulinga na TCU siwez kusoma tena
Naombeni ushauri wenu nirudie mtihani, niende diploma au foundation course
Samahan unaweza kunielezea kuhusu foundation courseSoma foundation course ya Open University miezi 6 baada ya hapo omba bachelor degree unayoitaka katika chuo chochote utimize ndoto zako
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Samahani!! Diploma ya Biomedical engeering hapo vipi nikisoma?Kasome diploma ya radiology narudia tena kasome diploma ya radiology..ova
Piga foundation kozi..uendelee mbele.Mm nimemaliza kidato Cha 6 mwaka 2022 kiuhalisia nimepataje matokeo mabaya yaan Division 3 ya 14 Combination EGM
Economics D
Geography E
Mathematics E
Ila na ndoto za kusoma Degree ya accounting ila kulinga na TCU siwez kusoma tena
Naombeni ushauri wenu nirudie mtihani, niende diploma au foundation course
Nenda open university utapata maelekezo yote na utajibiwa maswali yako yote.Samahan kama Kuna mtu ana knowledge ya kutosha kuhusu foundation course na system yao ya usomaji anielekeze
Daaaah 😹😹😹😹Wee jamaa wala usijisumbue na skonga...huko sio kwako.