Kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa?

Kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa?

tulyfrance

Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
16
Reaction score
2
Naomba kujua nimeaply serkal health clinical medicine ,ambavyo sina math, Nina c-bios,phy d,chem d,engl c,history c, je? Naweza kuchaguliwa???
 
ata certificate unatakiwa uwe na pass ya maths... kama una f itakua ngum
diplo ndio haizekani kabsa...
 
Tafuta chuo cha private uombe tena... serikali kwa ufaulu wako utajilaumu baadae na mda huo maombi yatakuwa yamefungwa
 
Private unapokelewa kufanyaa cheti,, serikalin competition ni kali mnooooo
Last year niliomba hiyo kozi ( bio c, chem, c, math d, engli B, phy c, )nikakosa. cut of points zilikuwa 17 na 16...i.e div 1! vyuo vitatu vya serikali nilikosa.. kibaha, Kilosa, lugalo.... Vijana wengi wa kwenda form five hawaendi kwa sasa wanakimbilia huko.
 
Last year niliomba hiyo kozi ( bio c, chem, c, math d, engli B, phy c, )nikakosa. cut of points zilikuwa 17 na 16...i.e div 1! vyuo vitatu vya serikali nilikosa.. kibaha, Kilosa, lugalo.... Vijana wengi wa kwenda form five hawaendi kwa sasa wanakimbilia huko.
Private unapata faster,,, serikalin mahitaji ni machache sana kwendana na miundombinu,,,,, apply private
 
Last year niliomba hiyo kozi ( bio c, chem, c, math d, engli B, phy c, )nikakosa. cut of points zilikuwa 17 na 16...i.e div 1! vyuo vitatu vya serikali nilikosa.. kibaha, Kilosa, lugalo.... Vijana wengi wa kwenda form five hawaendi kwa sasa wanakimbilia huko.
Duh.. sasa kwa huo ufaulu wako, umeaxhwa government duuh... kweli watu hawaendi Advance
 
Last year niliomba hiyo kozi ( bio c, chem, c, math d, engli B, phy c, )nikakosa. cut of points zilikuwa 17 na 16...i.e div 1! vyuo vitatu vya serikali nilikosa.. kibaha, Kilosa, lugalo.... Vijana wengi wa kwenda form five hawaendi kwa sasa wanakimbilia huko.
Duh.. sasa kwa huo ufaulu wako, umeachwa government duuh...
Au ulimaliza kitambo sana
 
hapana mwaka 2015, ushindani ni mkali serikalini. Niko form five now
Ila ni vyuo vya afya tu... ila kozi zingine kama kilimo, mifugo watu wanachaguliwa government na wanapata sponsor kwa.marks za kawaida sana
 
Ila ni vyuo vya afya tu... ila kozi zingine kama kilimo, mifugo watu wanachaguliwa government na wanapata sponsor kwa.marks za kawaida sana
Uko sahihi. Nisaidie ni vyuo gani vya kilimo, mifugo unaweza soma, vizuri. Please and please. Sponsor sodhani kwa diploma.
 
Uko sahihi. Nisaidie ni vyuo gani vya kilimo, mifugo unaweza soma, vizuri. Please and please. Sponsor sodhani kwa diploma.
Mifugo ni Tengeru, Madaba..
Kilimo ni Uyole, ukiriguru e.t.c
 
Back
Top Bottom