Kwa matokeo haya mdogo wangu anaweza kuchagulia combination ya PCM?

soldier MAN

Member
May 13, 2024
12
38
Naomba kuuliza, mimi nina mdogo wangu wa kiume kapata ufaulu wa two ya 18 kidato cha nne na alijaza combination ya pcm kama chaguo la kwanza, matokeo yake ni physics C, chemistry B, mathematics C. je atachaguliwa pcm kweli?
 
Kwa PCM imebalance, huwa zinahitajika minimum point 9 mpaka 10 kwenda PCM (Labda kama imebadilika siku hizi) na hapo ana points 8. Binafsi kama mko na uwezo dogo angefosi aende chuo akaanze diploma (hata hivyo nimesikia wameanza kutoa mikopo kwa diploma pia kama atachaguliwa directly chuo) otherwise kama imebidi aende advance (sio mbaya pia) na kama ni hobbyst wa kompyuta na hana ndoto za kusoma engineering inayohusisha chemistry bora afatilie PMC (Physics, Mathematics & Computer) (sijajuwa vigezo vyake vikoje)
 
kwa mimi ninavyo fahamu ni kuwa kwa wa kiume ili uende kusoma kombi za sayansi ni lazima uwe na division one ya kuanzia pointi 7 mpaka 15 ,ila kwa wa kike ni kuanzia division one ya point 7 mpaka 17
 
Back
Top Bottom