Amemaliza mwaka jana anataka aanze mwakaniHabari mkuu..
Mdogo wako amemaliza lini na anataka aanze kusoma Liu??
Maana sasa hivi watu wana apply kupitia nacte..
Na muda wa ku apply ulishakwisha samani..na vyuo vimeshafunguliwa.. vinginevyo unataka mdogo wako amasome Vyuo vya pale ilala
Nipe maelekezo nimsaidie kumuobea nacteleo NACTE WAPO OPEN MWAMBIE AOMBE