AnapataJamani matokeo ya form 6 dogo amepata hivi;
History D
Geography D
English E
Sasa najiuliza atapata chuo kweli, na kama atapata ipi course nzuri ya kusomea? Mimi naifikiria Procurement & Supplies
Akichagua kwa umakini chuo atapata. Swali ni yeye anataka kuomea nini? Tafuteni TCU admission guide humu JF au TCU website halafu mpitie, pia muangalie ushindani uko kiasi gani ili kuweza kufanya uchaguzi mzuri.Jamani matokeo ya form 6 dogo amepata hivi;
History D
Geography D
English E
Sasa najiuliza atapata chuo kweli, na kama atapata ipi course nzuri ya kusomea? Mimi naifikiria Procurement & Supplies
Akichagua kwa umakini chuo atapata. Swali ni yeye anataka kuomea nini? Tafuteni TCU admission guide humu JF au TCU website halafu mpitie, pia muangalie ushindani uko kiasi gani ili kuweza kufanya uchaguzi mzuri.