EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Nadhani hujanielewa mkuu...hoja yangu hapa ni kwamba kwa matokeo ya division three ni ngumu kupata udahili kwa kozi nyingine zaidi ya ualimu.
nimejaribu kutoa uhalisia wa mambo na si kuonesha dharau kwa fani ya ualimu.
anaweza bahatisha kupata udahili kwenye kozi tofauti na ualimu ila sera ya serikali ni kwamba walio eligible kupata mkopo ni waliopata div 1 na 2 bila kujali unasoma kozi gani na div 3 kwa wanaosoma ualimu.
dhambi yangu kama ipo kwenye kutoa taarifa hapo nitakubali mkuu
Nimekuelewa mkuu