Kwa matokeo haya atasoma chuo kikuu??????

Nadhani hujanielewa mkuu...hoja yangu hapa ni kwamba kwa matokeo ya division three ni ngumu kupata udahili kwa kozi nyingine zaidi ya ualimu.
nimejaribu kutoa uhalisia wa mambo na si kuonesha dharau kwa fani ya ualimu.
anaweza bahatisha kupata udahili kwenye kozi tofauti na ualimu ila sera ya serikali ni kwamba walio eligible kupata mkopo ni waliopata div 1 na 2 bila kujali unasoma kozi gani na div 3 kwa wanaosoma ualimu.
dhambi yangu kama ipo kwenye kutoa taarifa hapo nitakubali mkuu

Nimekuelewa mkuu
 
nadhani hujanielewa mkuu...hoja yangu hapa ni kwamba kwa matokeo ya division three ni ngumu kupata udahili kwa kozi nyingine zaidi ya ualimu.
Nimejaribu kutoa uhalisia wa mambo na si kuonesha dharau kwa fani ya ualimu.
Anaweza bahatisha kupata udahili kwenye kozi tofauti na ualimu ila sera ya serikali ni kwamba walio eligible kupata mkopo ni waliopata div 1 na 2 bila kujali unasoma kozi gani na div 3 kwa wanaosoma ualimu.
Dhambi yangu kama ipo kwenye kutoa taarifa hapo nitakubali mkuu
umesomeka mkuu.
 
Jamaa mmoja kanijuza,eti yeye alidahiriwa na tcu akiwa na score kama za huyu bwana lakini anasema yeye ,waliconsider hata matokeo ya kidato cha nne preferably english anasema anasoma sheria hii imekaaje wandugu?Anasoma OUT
 
Kwa combination hyo cjajua ila kuna washkaji zangu mwaka jana walikua na pts kama hzo ila combi zao zlikua ni EGM na Pcm walipata vyuo,mmoja yuko ifm mwingne ardhi. [QUOTEossy;1913583]Mimi mdogo wangu ana Three ya 17,HGL(fde) atapata chuo jamani? Msaada please!!![/QUOTE]
 
Ajarbu kuomba na law tumaini ila ada yao ndo kasheshe.
Ndugu yangu kapata matokeo yake ya kidato cha sita,amepata div.3 ya 14 katika combination ya HGK (E,E,D) Sasa je anaweza kusoma elimu ya juu hususani degree?na je yuko eligible kuomba mkopo?
Wasiwasi wake anahofia kuingia gharama ya 60,000/= alafu ikala kwake.Msaada wa mawazo kutoka kwenu utamsaidia sana.
 
Nami nina nephew wangu amesoma HGL amepata div II ya point 11 (DDC) anataka kufanya Environment and Geography je kuna chance ya kuchukuliw UDSM? Au kuna chuo kingine wanatoa kozi hiyo?
 
atapata kutegemeana na kozi atakayo omba ...dont give upila passmark si division 3 au niaje?
 
Nadhani hujanielewa mkuu...hoja yangu hapa ni kwamba kwa matokeo ya division three ni ngumu kupata udahili kwa kozi nyingine zaidi ya ualimu.
nimejaribu kutoa uhalisia wa mambo na si kuonesha dharau kwa fani ya ualimu.
anaweza bahatisha kupata udahili kwenye kozi tofauti na ualimu ila sera ya serikali ni kwamba walio eligible kupata mkopo ni waliopata div 1 na 2 bila kujali unasoma kozi gani na div 3 kwa wanaosoma ualimu.
dhambi yangu kama ipo kwenye kutoa taarifa hapo nitakubali mkuu

kimbilio la waliofeli ni ualimu na upolisi
 
Anaweza kuomba ualimu. Mkopo inategemea na namna atakavyojaza hizo forms. Asipokuwa makini atapata 10%.
 
Ndugu yangu kapata matokeo yake ya kidato cha sita,amepata div.3 ya 14 katika combination ya HGK (E,E,D) Sasa je anaweza kusoma elimu ya juu hususani degree?na je yuko eligible kuomba mkopo?
Wasiwasi wake anahofia kuingia gharama ya 60,000/= alafu ikala kwake.Msaada wa mawazo kutoka kwenu utamsaidia sana.

Aombe Muccobs,atapata loan na asijali %tage ngapi ...nina mfano hai! Wapo waliopata loan ya mpaka 70% kwa point ya less than this!
 
yani pass kama hizo ' ualimu' maana ninamfano hai wa rafiki zangu hapa st.augustine university wenye pass kama hizo sema wenyewe walipata chuo ule wakati kabla t.c.u hawajaingilia swala la kudahili wanafunzi wenyewe, kuhusu mkopo ukiwa unasoma ualimu possibility ni kubwa kupata
 
Ki ukweli ualimu unadharauliwa, wengi wanaenda kwa sababu hawana cha kufanya later wanajiiunga na mambo mengine wanatupa ualimu. Walimu juzi wamekula hela ya kwenda vituoni kufundisha wakaingia mitini. Ina maana walienda kusoma ili wafanye ufisadi wa kula kodi ya watanzania wasifike kwenye vituo vyao.

Kwa wewe nafikiri huna dhambi, unajaribu kutupa uhalisia wa kibongo. Thanks.
 
Mkuu inaonekana kama vile unaidharau fani ya ualimu. Sasa huyo akienda kusoma ualimu awe mwalimu utakubali aje kundisha mtoto wako? Naye kapata lower grades b'se inawezekana walimu waliomfundisha nao walikimbilia ualimu baada ya kupata grade za chini. Bora kuiheshimu hii fani ya ualimu kama tunataka kuepukana na grade mbaya. Utaniambia ndio tulivyo watanzania lakini inabidi tubadilike kwa kweli. Tuheshimu fani ya uliamu. Labda utaniambia asomee ualimu halafu atabadilisha fani huko mbele, lakini wakati akisubiri kubadalisha fani atakuwa tayari ameshafelisha wangapi?

By the way, kwani yeye anataka kusoma ualimu. Let him/her pursue his/her dream. Kama ana dream but qualifications hana then arudie. Sioni kama ni vizuri kumshari mtu akasomee ualimu wakati hiyo fani haipo kichwani kwake. Kama dream yake ni kuwa mwalimu then, let him do that.

Ndugu yangu huo ndio uhalisia wenyewe!! Kwa nini unabishana na ukweli. Tafuta mwalimu yoyote tanzanina umuulize alienda kusoma ualimu kwa nini? Asilimia kubwa, zaidi ya 95% walienda ualimu baada ya kupata lower grades katika ngazi husika ya mtiani i.e Form 4 au f6. Hata kama wewe pia ni mwalimu, pia ulikuwa umepata lower grades huo ndo ukweli.
Wewe ungekuwa tayar na higher grades zako, ukasome taaluma ambayo baada ya hapo unapelekwa mahala unakaa ofisini, viti ni mianzi imelazwa kwenye magogo wakati unaweza kusomea taaluma ambayo utafanya kazi kwenye kiyoyozi??? To be honest ungekubali hilo?
Hakuna mtu anayependa kuishi maisha magumu, so hakuna mtu yupo tayar kusoma kitu kinacho muhakikishia maisha magumu katika mazingira magumu.
 
Mimi mdogo wangu ana Three ya 17,HGL(fde) atapata chuo jamani? Msaada please!!!

huyo wa 17 points,akafanye mtiani Saut university mwanza atatpata.na huyo wa 14 yey hiko given omba vyuo vidogo kama teofilo kisanji (mbeya) Saut e.t.c(uhakika hupo nina ushaid wa waliochaguliwa mwaka jana)
 
Nami nina nephew wangu amesoma HGL amepata div II ya point 11 (DDC) anataka kufanya Environment and Geography je kuna chance ya kuchukuliw UDSM? Au kuna chuo kingine wanatoa kozi hiyo?

kwa UDSM hiyo koz ya geg&env ni one ya 8 mwisho,lakini UDOM kuna 'environmental disaster manegement,atapokelewa.
 
Wana jamvi, mimi nina div 2 ya 12 HKL,(d,d,d). Nania ya kusoma udsm, je n kwa koz ipi kat ya hizi naweza kupata! PSPA,LAW,INTERNATIONAL RELATION na koz zngine zenye tija.
Na kama mna ushaur wa ziada ndugu zangu..
 
Mheshimiwa kwani hujui kwamba bongo nafasi za Ualimu, Upolisi, Jeshi na manesi wa hospitali ndo zimeachwa kama last resort ya lower grades? Sijui aliyeasisi huu mwelekeo!

ni serikali.. ndio imeshusha thamani ya fani hizi...
 
Wana jamvi, mimi nina div 2 ya 12 (d,d,d). Nania ya kusoma udsm, je n kwa koz ipi kat ya hizi nawe kupata! PSPA,LAW,INTERNATIONAL RELATION. na ushaur wa ziada ndugu zangu..

taja combination yako ya A level.. tukupe ushauri
 
Back
Top Bottom