Kwa matokeo haya asosme nini?

mjumbe22

Member
Dec 9, 2015
38
4
Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha 4 mwaka 2012 ana D zote na C mbili ya kiswahili na Civics yaani div 4:26 je anaweza kusoma nn kipindi hiki? Masomo ya sayansi Phys, Chem, Bios na Maths yote Ana D
 
Back
Top Bottom