Kwa maswahiba tu!!!!

Kwa maswahiba tu!!!!

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
Cc JEKI na wenzake
 

Attachments

  • 1393356116712.jpg
    1393356116712.jpg
    37.9 KB · Views: 420
Last edited by a moderator:
mkuu utafiti niseme ukweli nimeanza kuingiwa na hofu kubwa sana juu ya timu yangu, tunakoelekea ni aibu tupu, wacha tuone mwisho wake, ila mimi sitakubali kuzama na hili jahazi, Man U si mama yangu bwana.

lazima roho ikutoke mwaka huu
 
mkuu utafiti niseme ukweli nimeanza kuingiwa na hofu kubwa sana juu ya timu yangu, tunakoelekea ni aibu tupu, wacha tuone mwisho wake, ila mimi sitakubali kuzama na hili jahazi, Man U si mama yangu bwana.

Natamani ningeweze kueke 'like' zaidi ya moja. Kaka JEKI man u inaenda kubakia historia tu. Karibu arsenal karibu the gunners....
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi kwiiii....nasikia wana lizombe, Lipuli ya Iringa imeomba friend match na hawa jamaa ili kuthibitisha walishusha daraja kwa fitna...
 
Mbona timu zote za england zimefungwa goli hizohizo iweje kejeli ManU TUU?

Chelsea 0 - 2 Barcelona
Arsenal 0 - 2 Bayern Munchen
Olympiakos 2 - 0 Manchester United
 
Hahahaha duh me siwezi kusema hivi....

Nakuapia Man U ya Moyes ikija kukipiga na say Maji maji ya songea, Lipuli ya Iringa, Tukuyu Stars ama AFC ya Arusha useme itachomoka? Thubutuuuuu....watapelekwa mpela mhadi moyes aombe pooo!
 
Mbona timu zote za england zimefungwa goli hizohizo iweje kejeli ManU TUU?

Chelsea 0 - 2 Barcelona
Arsenal 0 - 2 Bayern Munchen
Olympiakos 2 - 0 Manchester United

Hatujasema kuhusu matokeo ya jana. Mkuu unapata mda wakuangalia man u wakicheza?
 
Nakuapia Man U ya Moyes ikija kukipiga na say Maji maji ya songea, Lipuli ya Iringa, Tukuyu Stars ama AFC ya Arusha useme itachomoka? Thubutuuuuu....watapelekwa mpela mhadi moyes aombe pooo!

Haahaha nimecheka sana
 
Back
Top Bottom