Kwa masomo ya biashara, ni vitabu gani vizuri vyenye topic ya enterpreurship?

Mbingo

JF-Expert Member
Mar 20, 2014
411
230
Samahani wadau mimi ni mwl wa biashara syllabus mpya kuanzia kidato cha kwanza kuna mada ya Entrepreneurship mpaka kidato cha nne je ni vitabu gani ni vizuri vyenye hii mada..
 
Safi sana waalimu, naona the wait is Over!
Ajira zikisitishwa, doesn't mean mwafaaaa!
Leo nimekutana na post nyingi za waalimu za namna hii..!

anyways, subiri wanakuja wataalamu, watakusaidia
 
Samahani wadau mimi ni mwl wa biashara syllabus mpya kuanzia kidato cha kwanza kuna mada ya Entrepreneurship mpaka kidato cha nne je ni vitabu gani ni vizuri vyenye hii mada..
Ase syllabus mpya IPO WAP mkuu?? Naitafuta sana aise embu tuwasiliane sivikumbuki waandishi ila nilivitumia enzi nikiwa Mzumbe nawezawasiliana na wadau apo Mzumbe mkuu
 
Hii ni nzuri,

Sijui kwa nini wanataka kuifungia Jamii Forums wakati tunawapa mawazo?

Hili wazo la kupanua masomo ya reflect soko la ajira /kujiajiri limetoka hapa hapa Jamii Forums,

Napendekeza pia kwenye hilo somo la biashara, kuwe na agriculture business as kama nchi tunategemea sana kilimo kama uti wa mgongo...
 
Itakua complicated sana kuna somo la agriculture ambalo huwa IPO baadh ya shule na ni optional labda wangefanya compulsory kwa shule zote maana kwenye agriculture wanasoma vtu ving vya business
 
Itakua complicated sana kuna somo la agriculture ambalo huwa IPO baadh ya shule na ni optional labda wangefanya compulsory kwa shule zote maana kwenye agriculture wanasoma vtu ving vya business
Thanks mkuu
 
Ase syllabus mpya IPO WAP mkuu?? Naitafta sana ase emb tuwasiliane cvkumbuki waandisg ila nilivitumia enzi nikiwa mzumbe nawezawasiliana na wadau apo mzumbe mkuu
Ipo niliinunua Mwanza ni ya mwaka 2016
 
Hii ni nzuri,

Sijui kwa nini wanataka kuifungia Jamii Forums wakati tunawapa mawazo?

Hili wazo la kupanua masomo ya reflect soko la ajira /kujiajiri limetoka hapa hapa Jamii Forums,

Napendekeza pia kwenye hilo somo la biashara, kuwe na agriculture business as kama nchi tunategemea sana kilimo kama uti wa mgongo...
Ndio hivyo ndugu angu wao wanadhania yakuwa kila kitu ni siasa pekee
 
Back
Top Bottom