Kwa mara ya Kwanza nimetumia Chatgpt

Kwa mara ya Kwanza nimetumia Chatgpt

Upcoming PRO

Member
Joined
Apr 16, 2019
Posts
5
Reaction score
2
Sikuwa nafikiria ikiwa Kuna siku namimi nitakaa nakuanza kuchart na AI lakini Leo katika utulivu wangu namimi nikaona niijaribu hii teknolojia ya Chatgpt.

Nikiri TU teknolojia inaenda kuwa msaada mkubwa Kwa wale wapendao kujifunza vitu vingi kwa urahisi lakini vile vile Nina wasiwasi akili za wanadamu zinakwenda kudumaa katika kujishughulisha ..inshort tunakwenda kuwa too much dependent on akili mnemba
 
Back
Top Bottom