Kwa mara ya kwanza Kova kawa mstaarabu, wengine ngunguri igeni

Leo nilivomwambia boss siingii kazini namsindikiza lowasa akanuna sana nikwamwambia basi anikate kwenye salary yangu ya mwisho wa mwezi huu akakubali, badae kwenye maandamano nikaona gari yake kumfata anacheka tu, ikabidi nimuulize vp bado utanikata mshahara akacheka sana akasema eti kwa sababu nimemuona basi hatonikata mshahara hahahahahahhahaha haya ni mafuriko naona boss wangu alikua anajaribu kuyazuia kwa mkono
 
Wana JF,

Kwa kweli kova ametumia fursa hii vizuri kutoonyesha munkali wa vitisho tulivyo vizoea baada ya kusikia umati wa watu wanaojiaandaa kumsindikiza lowassa wamejaa buguruni kusubiri rais wao /wetu mtarajiwa, Kova baada ya kuwasa mike katika redio ya clouds kuzuia msafara wa wasindikizaji na kuwataka kutumia barabara moja tu kwa kusema kwamba mgombea ni wa Chadema, huko buguruni kwa CUF hakuna ruhusa, lakini baada ya kuambiwa kuna nyomi inatisha kaamua kuwambia kuwa haya nimeruhusu lakini muwe waangalifu msilete fujo. Msafara umefanikiwa kwa kiwango kikubwa, hata ccm wengi walikuwepo ambao week ijayo wanajiunga lasmi kwenye boti kubwa ya SAFINA. Angalu polisi wamerudi na virungu vyao havijaonja mtu, hata vibaka walitulia sana.
Mafuriko yameshafanya kazi yake.ccm atabaki Liz1,Jk,Nepi,Mikumi,Lizabon na mafukara wachache wa akili hasa wajumbe wa nyumba kumi
 
Wa-Tz hatupishani sana na magazeti yetu! Hayachelewi kundika POLISI wanywea baada ya kuona nyomi! POLISI waufyata kwa UKAWA! Kova ala matapishi yake! Hivi hatuwezi tukaipongeza hiyo hatua ya Kova badala ya kumbeza?
 
nimegundua polisi ndo wanaanzishaga vurugu na kudai vyama vya upinzani ndo waanzisha vurugu leo tumeshuudia maandamano ya amani kabisa kumbe inawezekana
 
nikisema chadema wagomvi hamtaki... KWANI ILIKUWA LAZIMA MPITE HAPA.... KAMA SIO KUTAFUTA SHARI....


DSC_0771.jpg
 
Wa-Tz hatupishani sana na magazeti yetu! Hayachelewi kundika POLISI wanywea baada ya kuona nyomi! POLISI waufyata kwa UKAWA! Kova ala matapishi yake! Hivi hatuwezi tukaipongeza hiyo hatua ya Kova badala ya kumbeza?

Mkuu.
Kova kahongwa na Edo UHURU wataandika
 
wa-tz hatupishani sana na magazeti yetu! Hayachelewi kundika polisi wanywea baada ya kuona nyomi! Polisi waufyata kwa ukawa! Kova ala matapishi yake! Hivi hatuwezi tukaipongeza hiyo hatua ya kova badala ya kumbeza?

kamanda kova na wasaidizi wake wanastahili pongezi, kwa hili lililotokea leo na siku chache zilizopita. Na ikiwa itaendelea hivi jeshi letu la polisi litakuwa ni jeshi bora la usalama wa raia kuliko lolote katika ukanda wetu huu.

Ahsanteni sana kwa kusimamia demokrasia kwa kujali haki za raia kikatiba za kukutana...

Mungu ibariki tanzania
 
Wana JF,

Kwa kweli Kova ametumia fursa hii vizuri kutoonesha munkali wa vitisho tulivyo vizoea baada ya kusikia umati wa watu wanaojiaandaa kumsindikiza Lowassa wamejaa Buguruni kusubiri rais wao /wetu mtarajiwa, Kova baada ya kuwasha mic katika redio ya clouds kuzuia msafara wa wasindikizaji na kuwataka kutumia barabara moja tu kwa kusema kwamba mgombea ni wa CHADEMA, huko Buguruni kwa CUF hakuna ruhusa, lakini baada ya kuambiwa kuna nyomi inatisha kaamua kuwambia kuwa haya nimeruhusu lakini muwe waangalifu msilete fujo.

Msafara umefanikiwa kwa kiwango kikubwa, hata CCM wengi walikuwepo ambao wiki ijayo wanajiunga rasmi kwenye boti kubwa ya SAFINA.

Angalu polisi wamerudi na virungu vyao havijaonja mtu, hata vibaka walitulia sana.

Hivi ndivyo tunavyo taka Jeshi la Police lifanye kazi! Fairness, usawakwa wote!

Pongezi sana kwa hilo. Na pongezi pia kwa waandamanaji / watanzania kwa kuonyesha kuwa bila Police kuanzisha au kufanya fujo, hakuna fujo!

Vyombo vyote vya dola igeni mfano mzuri wa jana wa jeshi la police!
 
Hivi ndivyo tunavyo taka Jeshi la Police lifanye kazi! Fairness, usawakwa wote!

Pongezi sana kwa hilo. Na pongezi pia kwa waandamanaji / watanzania kwa kuonyesha kuwa bila Police kuanzisha au kufanya fujo, hakuna fujo!

Vyombo vyote vya dola igeni mfano mzuri wa jana wa jeshi la police!

kwa kweli polisi wakiendelea hivi hata majambazi wanaowasumbua tutatoa ushirikiano kuwanasa badala tungewaacha kuwa acha wakione, angalau hata polisi jamii itaanza kuelimika.
 
Back
Top Bottom