mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Wana JF,
Kwa kweli Kova ametumia fursa hii vizuri kutoonesha munkali wa vitisho tulivyo vizoea baada ya kusikia umati wa watu wanaojiaandaa kumsindikiza Lowassa wamejaa Buguruni kusubiri rais wao /wetu mtarajiwa, Kova baada ya kuwasha mic katika redio ya clouds kuzuia msafara wa wasindikizaji na kuwataka kutumia barabara moja tu kwa kusema kwamba mgombea ni wa CHADEMA, huko Buguruni kwa CUF hakuna ruhusa, lakini baada ya kuambiwa kuna nyomi inatisha kaamua kuwambia kuwa haya nimeruhusu lakini muwe waangalifu msilete fujo.
Msafara umefanikiwa kwa kiwango kikubwa, hata CCM wengi walikuwepo ambao wiki ijayo wanajiunga rasmi kwenye boti kubwa ya SAFINA.
Angalu polisi wamerudi na virungu vyao havijaonja mtu, hata vibaka walitulia sana.
Kwa kweli Kova ametumia fursa hii vizuri kutoonesha munkali wa vitisho tulivyo vizoea baada ya kusikia umati wa watu wanaojiaandaa kumsindikiza Lowassa wamejaa Buguruni kusubiri rais wao /wetu mtarajiwa, Kova baada ya kuwasha mic katika redio ya clouds kuzuia msafara wa wasindikizaji na kuwataka kutumia barabara moja tu kwa kusema kwamba mgombea ni wa CHADEMA, huko Buguruni kwa CUF hakuna ruhusa, lakini baada ya kuambiwa kuna nyomi inatisha kaamua kuwambia kuwa haya nimeruhusu lakini muwe waangalifu msilete fujo.
Msafara umefanikiwa kwa kiwango kikubwa, hata CCM wengi walikuwepo ambao wiki ijayo wanajiunga rasmi kwenye boti kubwa ya SAFINA.
Angalu polisi wamerudi na virungu vyao havijaonja mtu, hata vibaka walitulia sana.