Kwa Mara ya Kwanza Gazeti la Tanzania Daima laipa kisogo CHADEMA na kuiangazia CCM Dodoma

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana kuna matukio mawili makubwa ya kitaifa yalikuwa yanaendelea nchini. Jijini Dar es Salaam, kikao cha Dharura cha Kamati Kuu CHADEMA kilianza ambapo kitafanyika kwa siku mbili yaani Julai 23 hadi 24.

Mjini Dodoma, Chama Cha Mapinduzi kilikuwa na Mkutano Mkuu Maalum ambapk Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete alimkabidhi Mikoba Mwenyekiti Mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Lengo la CHADEMA kuitisha kikao cha Dharura cha Kamati Kuu siku ambayo CCM inafanya uchaguzi wa Mwenyekiti lilikuwa ni kwanza kabisa kuteka headlines za magazeti na vyombo vya habari. Siku zote CHADEMA wanajinasibu kuwa wao ndio wanapendwa na inapotokea wakafanya matukio pamoja basi ni taarifa za CHADEMA ndizo hupewa kipaumbele.

Nimepitia magazeti yoye hakika taarifa za CCM kwa ujumla wake zimetawala. Kila gazeti limeandika kwa ustadi wake lakini kwenye habari kuu lazima utaona jina la Kikwete, Magufuli na CCM. Pia rangi za kijani na njano zimetawala kwenye magazeti yote.

Kilichoniacha mdomo wazi ni hili tukio la Gazeti la Mbowe kuupa kisogo Mkutano wa CHADEMA na kulipamba gazeti na habari za CCM. Naona sasa wameona bora kufanya biashara kuliko kutumika kukiuza chama ambacho hakiuziki. Ka dhati ya moyo wangu niwapongeze Tanzania Daima kwa kubadilika. Japo Taarifa kuu ilikuwa na lengo la kumpamba Lowasa, ila kiukweli mwonekano wa gazeti hilo kwa siku ya keo umeniacha mdomo wazi.. Lazima tuheshimiane
image.jpg
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana kuna matukio mawili makubwa ya kitaifa yalikuwa yanaendelea nchini. Jijini Dar es Salaam, kikao cha Dharura cha Kamati Kuu CHADEMA kilianza ambapo kitafanyika kwa siku mbili yaani Julai 23 hadi 24.

Mjini Dodoma, Chama Cha Mapinduzi kilikuwa na Mkutano Mkuu Maalum ambapk Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete alimkabidhi Mikoba Mwenyekiti Mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Lengo la CHADEMA kuitisha kikao cha Dharura cha Kamati Kuu siku ambayo CCM inafanya uchaguzi wa Mwenyekiti lilikuwa ni kwanza kabisa kuteka headlines za magazeti na vyombo vya habari. Siku zote CHADEMA wanajinasibu kuwa wao ndio wanapendwa na inapotokea wakafanya matukio pamoja basi ni taarifa za CHADEMA ndizo hupewa kipaumbele.

Nimepitia magazeti yoye hakika taarifa za CCM kwa ujumla wake zimetawala. Kila gazeti limeandika kwa ustadi wake lakini kwenye habari kuu lazima utaona jina la Kikwete, Magufuli na CCM. Pia rangi za kijani na njano zimetawala kwenye magazeti yote.

Kilichoniacha mdomo wazi ni hili tukio la Gazeti la Mbowe kuupa kisogo Mkutano wa CHADEMA na kulipamba gazeti na habari za CCM. Naona sasa wameona bora kufanya biashara kuliko kutumika kukiuza chama ambacho hakiuziki. Ka dhati ya moyo wangu niwapongeze Tanzania Daima kwa kubadilika. Japo Taarifa kuu ilikuwa na lengo la kumpamba Lowasa, ila kiukweli mwonekano wa gazeti hilo kwa siku ya keo umeniacha mdomo wazi.. Lazima tuheshimiane
View attachment 370082
Hata wakipewa front page/prime airtime wana kipi kipya zaidi ya matamko ya migomo na kususia??

Hivi kweli nikanunue gazeti nisome namna watu walivyowataalamu wa kususa susa??


Very soon habari zao nyingi zitakua zina share colums na vimbwanga vya kina shishi baby na vii money kwenye front page za udaku...
 
Lowasa yuko CCM? Tofauti ni UKAWA hasomi uhuru kumbe wewe unasoma Tz Daima
Mkuu, mimi sichagui gazeti. Ila la Tanzania Daima huwa naangalia front page tu na nimeshtushwa kuona likiwa na mwonekano tofauti
 
Siasa ni mchezo mgumu sana na biashara nzuri sana ukifahamu jinsi ya kutumia fursa hii, Tanzania Daima wameiona fursa ngoja waitumie
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana kuna matukio mawili makubwa ya kitaifa yalikuwa yanaendelea nchini. Jijini Dar es Salaam, kikao cha Dharura cha Kamati Kuu CHADEMA kilianza ambapo kitafanyika kwa siku mbili yaani Julai 23 hadi 24.

Mjini Dodoma, Chama Cha Mapinduzi kilikuwa na Mkutano Mkuu Maalum ambapk Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete alimkabidhi Mikoba Mwenyekiti Mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Lengo la CHADEMA kuitisha kikao cha Dharura cha Kamati Kuu siku ambayo CCM inafanya uchaguzi wa Mwenyekiti lilikuwa ni kwanza kabisa kuteka headlines za magazeti na vyombo vya habari. Siku zote CHADEMA wanajinasibu kuwa wao ndio wanapendwa na inapotokea wakafanya matukio pamoja basi ni taarifa za CHADEMA ndizo hupewa kipaumbele.

Nimepitia magazeti yoye hakika taarifa za CCM kwa ujumla wake zimetawala. Kila gazeti limeandika kwa ustadi wake lakini kwenye habari kuu lazima utaona jina la Kikwete, Magufuli na CCM. Pia rangi za kijani na njano zimetawala kwenye magazeti yote.

Kilichoniacha mdomo wazi ni hili tukio la Gazeti la Mbowe kuupa kisogo Mkutano wa CHADEMA na kulipamba gazeti na habari za CCM. Naona sasa wameona bora kufanya biashara kuliko kutumika kukiuza chama ambacho hakiuziki. Ka dhati ya moyo wangu niwapongeze Tanzania Daima kwa kubadilika. Japo Taarifa kuu ilikuwa na lengo la kumpamba Lowasa, ila kiukweli mwonekano wa gazeti hilo kwa siku ya keo umeniacha mdomo wazi.. Lazima tuheshimiane
View attachment 370082
Mkuu, ndondo cup ya dr mwaka na friendly match ya ujerumani na spain wapi na wapi. Hakuna anayenunua gazeti kutaka kujua matokeo ya ndondo cup!
 
Hata wakipewa front page/prime airtime wana kipi kipya zaidi ya matamko ya migomo na kususia??

Hivi kweli nikanunue gazeti nisome namna watu walivyowataalamu wa kususa susa??


Very soon habari zao nyingi zitakua zina share colums na vimbwanga vya kina shishi baby na vii money kwenye front page za udaku...
Mkuu upo sahii
 
kila mtu Kamanda. Akijikwaa kdg kateguka mguu inapostiwa "tumuombee Kamanda/mpiganaji"
mambo ya maana hayaonekani sahih mbele!
Walls znajaa pcha za makamanda!
nachukia sana ubadhirifu lakn kwa hatua anazofny mhe. hatuna budi kumuunga mkono.Adui anaopambana nao wanatosha atleast Watanzania wny nia ya kwel tuwe upande wke!
tuache matabaka katka suala la maendeleo
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana kuna matukio mawili makubwa ya kitaifa yalikuwa yanaendelea nchini. Jijini Dar es Salaam, kikao cha Dharura cha Kamati Kuu CHADEMA kilianza ambapo kitafanyika kwa siku mbili yaani Julai 23 hadi 24.

Mjini Dodoma, Chama Cha Mapinduzi kilikuwa na Mkutano Mkuu Maalum ambapk Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete alimkabidhi Mikoba Mwenyekiti Mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Lengo la CHADEMA kuitisha kikao cha Dharura cha Kamati Kuu siku ambayo CCM inafanya uchaguzi wa Mwenyekiti lilikuwa ni kwanza kabisa kuteka headlines za magazeti na vyombo vya habari. Siku zote CHADEMA wanajinasibu kuwa wao ndio wanapendwa na inapotokea wakafanya matukio pamoja basi ni taarifa za CHADEMA ndizo hupewa kipaumbele.

Nimepitia magazeti yoye hakika taarifa za CCM kwa ujumla wake zimetawala. Kila gazeti limeandika kwa ustadi wake lakini kwenye habari kuu lazima utaona jina la Kikwete, Magufuli na CCM. Pia rangi za kijani na njano zimetawala kwenye magazeti yote.

Kilichoniacha mdomo wazi ni hili tukio la Gazeti la Mbowe kuupa kisogo Mkutano wa CHADEMA na kulipamba gazeti na habari za CCM. Naona sasa wameona bora kufanya biashara kuliko kutumika kukiuza chama ambacho hakiuziki. Ka dhati ya moyo wangu niwapongeze Tanzania Daima kwa kubadilika. Japo Taarifa kuu ilikuwa na lengo la kumpamba Lowasa, ila kiukweli mwonekano wa gazeti hilo kwa siku ya keo umeniacha mdomo wazi.. Lazima tuheshimiane
View attachment 370082

Mkuu kikao cha CDM ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama kikundi fulani hivi cha uhalifu. Kina panga kufanya. Uhalifu mahala fulani
 
Hakuna cha kuandika,kikao hakikua na hotuba ya ufunguzi wameambiwa wangoje matamko,na tajir ndio yule kama unavyomjua pesa mbeleee,hajali rangi!
 
Usishtuke mkuu, siasa hazihitaji siasa
Aiseeee
Kaka yangu Omary Rajab Luhwavi bado anaendelea na nafasi yake ya Unaibu Katibu Mkuu Bara?
anaendelea kwa muda mfupi kwa vile Mwenyekiti wetu hakutaka leo wawe na kikao kingine cha Halmashauri kuu. Protokali za vikao vya CCM ni kwamba mkutano Mkuu ukishafanyika, huwezi tena wakati huo huo ukaitisha kikao kidogo. Lazima muda upite ndipo kiitishwe kikao kidogo. Mabadiliko kwenye Sekretarieti ni ya lazima. Nape ni Waziri wa Habari na wakati huo huo ni Katibu wa Itikadi na Uenezi. Dr Asha Rose ni Balozi na wakati huo huo ni Katibu wa Mambo ya Nje. Zakhia Meghji kashindwa kazi. Rajab Luhwavi kashiriki mchezo mchafu wa kutaka kujiposition kwenye nafasi ya Katibu Mkuu. Haya mabadiliko ni ya lazima
 
Back
Top Bottom