FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Wanapaswa wasiyauze kipindi hiki, wasubiri hadi bei ipandeNi kilio kwa wakulima ambao hivi sasa wanauza gunia kwa Tsh 30,000 wakati wameingia gharama kubwa kulima. Una swali jingine? Kilimo ni biashara