Kwa mapungufu haya Simba kaeni chonjo, vinginevyo...

Hebu tukumbushane rekodi [nzuri] za ushindi wa Simba

*1978:* Simba 1—8 Enyimba
*1980:* Al Ahly 9—0 Simba
*1984:* Petle Atletico de Angola 6—0 Simba
*1989:* Simba 2—8 Solfa ya Gabon
*1991:* Yanga 4 —0 Simba. Simba hawakurudi second half
*1996:* All Hilaly 5—0 Simba
*1999:* Sesco 4—0 Simba
*2005:* Simba 0—4 Enyimba
*2007:* Enyimba 5—0 Simba
*2012:* Liboro de Angola 5—0 Simba
*2019:* As vita 5—0 Simba

5/5.
 
caf1.png
caf2.png
 
sio kweli alisema kabla ya mechi ya warabu.mechi ilivyoisha akajificha kwa mamaake
Mkuu, uongo au ukweli wa Shafii utajulikana baada ya mechi za makundi kuisha. Sasa hivi kila mtu ataongea kiushabiki zaidi.
 
kwa namna simba wanavocheza wakiwa ugenini ni tofauti kabisa wanapokuwa nyumbani.

1.Kocha wenu hana mbinu za kucheza nje na anashindwa kujua anacheza na timu gani

2. Wachezaji hawajitambui wanapofungwa wanakata tamaa wanashindwa kujua kuwa mpira dkk 90

3 Phisical fitness na stamina ndogo sana waarabu wana nguvu sana msione wanajIdondosha ile ni janja ya kupoteza muda
4. Beki line ya simba wanaruhusu sana wapinzani kuingia kwenye kumi na nane.

5. Msemaji wenu anawadanganya sana na wachezaji wanajiona kuwa wao ndo klabu bora Afrika wenye uwezo wa kucheza na Man City huku uhalisia unajulikanakuwa Simba ni timu kubwa hapa TZ

KWA WAARABU KULE CAIRO TUNAWEZA KUONGEA MENGINE ZAIDI YA YALE YA CONGO.
Mkuu nimekuelewa! Simba lazima wabadilike na wayaheshimu haya mashindano wasiyachukulie poa na lazima wajipange vizuri kwa mechi zijazo kama wana ndoto za kufika mbele.
 
Kwa maoni yangu,

Udhaifu mkubwa kwa timu yangu ya simba ni ktk suala zima la kukaba na kucheza mipira ya kona na faulo. Walinzi wanakabia macho sana na wanawaacha mafoward wa upinzani kuruka free headers bila hata kuwapa kashkash.Kwingine kote kunarekebishika na ndio maana hata ball possession FT walikuwa wapo juu ya VITA.

Kocha akifanyia kazi madhaifu hayo,timu itafika mbali.
 
kwa namna simba wanavocheza wakiwa ugenini ni tofauti kabisa wanapokuwa nyumbani.

1.Kocha wenu hana mbinu za kucheza nje na anashindwa kujua anacheza na timu gani

2. Wachezaji hawajitambui wanapofungwa wanakata tamaa wanashindwa kujua kuwa mpira dkk 90

3 Phisical fitness na stamina ndogo sana waarabu wana nguvu sana msione wanajIdondosha ile ni janja ya kupoteza muda
4. Beki line ya simba wanaruhusu sana wapinzani kuingia kwenye kumi na nane.

5. Msemaji wenu anawadanganya sana na wachezaji wanajiona kuwa wao ndo klabu bora Afrika wenye uwezo wa kucheza na Man City huku uhalisia unajulikanakuwa Simba ni timu kubwa hapa TZ

KWA WAARABU KULE CAIRO TUNAWEZA KUONGEA MENGINE ZAIDI YA YALE YA CONGO.
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom