Kwa mamlaka yeyote inayohusika na hili

Kwa mamlaka yeyote inayohusika na hili

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,681
Reaction score
6,382
Tafadhali chukua hatua za dharura na za haraka ili kuokoa afya za watanzania wanaoishi dar es salaam

Kuna haya magari ya ukubwa wa canter lakini either ni ya china au india yameelekezwa bomba la moshi (exhaust ) chini so inapuliza kwenye barabara sasa inavyomwaga vumbi ni balaa, tafadhali sana mamlaka yeyote inayohusika ichukue hatua warekebishe hili la sivyo wawapige faini na iwe chanzo cha mapato
 
Sio kwamba mamlaka ihakikishe barabara hazina vumbi?
 
foton aumark, FAW tiger, JAC n-series
Kuna moja lina ukubwa kama Mitsubishi Canter 3 ton hivi halafu lina magurudumu matatu yana kelele kama pikipiki ya cc3000. Yanatumiwa sana na kampuni ya Mwamedi.
 
Tafadhali chukua hatua za dharura na za haraka ili kuokoa afya za watanzania wanaoishi dar es salaam

Kuna haya magari ya ukubwa wa canter lakini either ni ya china au india yameelekezwa bomba la moshi (exhaust ) chini so inapuliza kwenye barabara sasa inavyomwaga vumbi ni balaa, tafadhali sana mamlaka yeyote inayohusika ichukue hatua warekebishe hili la sivyo wawapige faini na iwe chanzo cha mapato
Hizo mamlaka zimelala muda huu
 
Kuna moja lina ukubwa kama Mitsubishi Canter 3 ton hivi halafu lina magurudumu matatu yana kelele kama pikipiki ya cc3000. Yanatumiwa sana na kampuni ya Mwamedi.
Naijua zile takataka zina kelele aisee.
 
Back
Top Bottom