Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,194
- 5,598
Habari wana jamii forum MAKAMANDA na wana M4C (movement for Change) popote pale mlipo, Ndani na nje ya nchi. Bila shaka tunakubaliana CHAMA sasa kinakua kwa kasi, ila tunahitaji kutoa sapoti ya ziada tufikie malengo.
Kila nayesoma hii na imani ni kamanda. na si KADA, sasa ILI UWE KAMANDA KAMILI TUUNGANE WOTE MAKAMANDA MNAOHITAJI MABADILIKO KUENDELEA KUKIKUZA CHAMA KWA KUFANYA VIFUATAVYO, HAKIKISHA:
1. Una Kadi ya Chama. (yaani uwe mwanachama kamili wa Chadema mwenye haki zote za msingi)
2. Uwe na katiba ya chama. (uisome na kuielewa, ujue sehemu yako katika chama)
3. Ujue sera za chama {CHADEMA}
4. Uwe na Gwanda/Vazi la kikamanda (kila inapobidi Basi unadhihirisha ukamanda wako)
5. Bendera ya CHAMA au SKAFU (kimoja wapo kulingana interest)
Hapo juu ni MUHIMU. kuna OPTION (HIARI): jitahidi kukiunga chama mkono, Si kwa kukishabikia tu katika mitandao na kujibu hoja na vinginevyo, ila hata kifedha.
Walau kila mwezi mara 1, 2, hata 3 au uwezavyo kulingana na kipato chako TUMA NENO "CHADEMA" KWENDA 15710 na utachangia Tsh. 350 tu. kwa kila SMS. kwa mitandao ya AIRTEL NA VODACOM.
Tembelea Tovuti ya Chama: www.chadema.or.tz Huko utasoma sera, utajua chama, habari nyingi na katiba ya chama kwa ujumla.
MWISHO NAOMBA KUWASILISHA HOJA KWENU MAKAMANDA.
mungu ibariki M4C, mungu ibariki CHADEMA na TANZANIA
Kila nayesoma hii na imani ni kamanda. na si KADA, sasa ILI UWE KAMANDA KAMILI TUUNGANE WOTE MAKAMANDA MNAOHITAJI MABADILIKO KUENDELEA KUKIKUZA CHAMA KWA KUFANYA VIFUATAVYO, HAKIKISHA:
1. Una Kadi ya Chama. (yaani uwe mwanachama kamili wa Chadema mwenye haki zote za msingi)
2. Uwe na katiba ya chama. (uisome na kuielewa, ujue sehemu yako katika chama)
3. Ujue sera za chama {CHADEMA}
4. Uwe na Gwanda/Vazi la kikamanda (kila inapobidi Basi unadhihirisha ukamanda wako)
5. Bendera ya CHAMA au SKAFU (kimoja wapo kulingana interest)
Hapo juu ni MUHIMU. kuna OPTION (HIARI): jitahidi kukiunga chama mkono, Si kwa kukishabikia tu katika mitandao na kujibu hoja na vinginevyo, ila hata kifedha.
Walau kila mwezi mara 1, 2, hata 3 au uwezavyo kulingana na kipato chako TUMA NENO "CHADEMA" KWENDA 15710 na utachangia Tsh. 350 tu. kwa kila SMS. kwa mitandao ya AIRTEL NA VODACOM.
Tembelea Tovuti ya Chama: www.chadema.or.tz Huko utasoma sera, utajua chama, habari nyingi na katiba ya chama kwa ujumla.
MWISHO NAOMBA KUWASILISHA HOJA KWENU MAKAMANDA.
mungu ibariki M4C, mungu ibariki CHADEMA na TANZANIA