makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,400
- Thread starter
- #21
Sawa bosi ila ungetaja hata price range
Mkuu kuna 20k hadi 50k pesa halali za kitanzania, bei inategemea sana sana na mazingira(ugumu wa picha) nikiwa namaanisha mandhar yake, mahala ambapo muhusika anahtaj picha ichorwe na size ya picha inayohtajika.