Kwa mahitaji ya picha nzuri nitafute

Kwa mahitaji ya picha nzuri nitafute

makaveli10

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
35,973
Reaction score
104,429
Kwa mahitaji ya picha nzuri, kali, murua na maridadi kama hii tuwasiliane kwa 0659445718 au ni pm.. Mwenye dili za kuchora, ofisi inayohitaj mchoraj au mahali pakuanzia msaada please.
 
Kwa mahitaji ya picha nzuri,kali,murua na maridadi kama hii tuwasiliane kwa 0659445718 au ni pm.. Mwenye dili za kuchora, ofisi inayohitaj mchoraj au mahali pakuanzia msaada please.

Hizo picha umezichora kwa mkono?
 
Duh umetisher napenda dat kind of arts...unachora kwa bei gan?? Naweza kucheck with u nikakupa some pics ukazichora???good job
 
Kwa mahitaji ya picha nzuri,kali,murua na maridadi kama hii tuwasiliane kwa 0659445718 au ni pm.. Mwenye dili za kuchora, ofisi inayohitaj mchoraj au mahali pakuanzia msaada please.

Makaveli unapatikana wapi???
 
mi nataka unichoree picha ya mama yangu nimsapraiz nayo
ila sasa sina clear picture yake ngoja nifanye mpango

mkuu nitakutafuta unachora sana
 
mi nataka unichoree picha ya mama yangu nimsapraiz nayo
ila sasa sina clear picture yake ngoja nifanye mpango

mkuu nitakutafuta unachora sana

Usijali mkuu, ukiwa tayar tutafutane. Hainaa neno hyo..
 
Nadhani ungekadilia bei ya kuanzia ili watu wajue. Kuna watu hawaamini kwamba mtu hawezi kuchora kitu kiatokea kama kilivyo, sasa wewe ungeweka picha za watu wanaojulikana sana kama Obama, kikwete, mtu mwingine yeyote maarufu watu waone kipaji chako.
 
Back
Top Bottom